Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Lussu ni mwehu asiye na sera, hajuwi aelekee wapi, anadandia kila basi.

Na wewe nae, mada ngorongoro wewe upo bandarini.

Bandari ndiyo sahau, juzi imetangazwa tenda, kama unaweza kafanye kazi, la huwezi, tulia.

Huu ndiyo ujinga wa Kitanzania.
Mtaitapika Ndoano ya mjomba wenu Mwarabu, Wananchi wameamuka.
 
We mzee mbona unakuwa muongo sana, mi nipo kwa Samia kabisa unguja hawamuelewi. Achilia mbali sifa zenu mnazompa mi nahisi yeye mwenyewe anaelewa uhalisia uliopo nchini
Mzee baba yako! Tunaongelea kiongozi Dkt Samia. Anapendwa na anapendeka!
 
Kumbe mlitoa mgao?

Taratibu tu mtasema yote!
 
Mgao wa nini? Sadaka?
"Huyo mwehu kuna habari zake tunazo, kuwa kishaanza kumkorofisha Mbowe, anadai na yeye mgao wake kwa nguvu".

Hayo maneno umeyaandika wewe kwenye post yako niliyoiquote. Kumbe mmetoa mgao kwa baadhi ya watu?
 
 

Attachments

  • IMG_2514.MP4
    935.5 KB
Yaan umeandika kinafiki hatari, nyie ndio mnampoteza huyo mama yenu
 
Jamaa Tindu Lissu mzee wa mikakati [emoji2] sasa ndio wakati wa kupasua lile jipu la wana ngorongoro ndio limeiva
 
Yaan umeandika kinafiki hatari, nyie ndio mnampoteza huyo mama yenu
atlas copco mama ana washauri mahili sana. Mchezo nyie hamuujui. Watanzania walioko vijijini wanachojua kuwa rais ni mchapa kazi na hao ndiyo wapiga kura na siyo nyie wa mtandaoni msiopiga hata kura
 
Kweli we ni chawa
 
Loliondo nako ni kitalu cha kuwinda, nani alimwambia waliokodisha hicho kitalu na wageni wao wanaokuja kuwinda kuwa wanataka siasa?

Huyo mwehu anatafuta kiki kijinga.
Binadamu kweli ni wanafiki hatari [emoji3][emoji3]
 
Amina[emoji24][emoji1666]
 
Mwamba Lissu!!! Ndugu zake na marafiki wa mkubwa wanakula mema ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…