cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Tundu Lissu anatumia madawa ya kulevya...
Walikuwa wanamoa muda abadilike akakazania eeeeh, leo amekiona na bado... alifikiri anaishi nchi isiyo mfahamu yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu anatumia madawa ya kulevya...
Anayeropoka hawezi kujua kuwa Wapwa ndiyo wanaoshikilia hazina!! Lakini Lumumba hawaioni hiyo kama tatizo [emoji87] [emoji40]Uropokaji na ngada ni vitu vinavyoendana
Anayapata wapi ikiwa yalishapigwa marufuku Tanzania? Kuna watu bado wanaingiza ilihali Polisi wetu wako macho kila mpaka?Tundu Lissu anatumia madawa ya kulevya...
Shujaa wa kujificha chini ya meza za mahakamani😀😀😀Mh. Lissu akataa kupimwa mkojo baada ya kufikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili.
Na kuhusu upekuzi mpaka sasa bado unaendelea na karibia wanafika mwisho na Rais wa TLS yuko katika hali mzuri kabisa ( kwa mujibu wa mkewe).
Tuzidi kumwombea na kumtia nguvu.
My take: hivi jaman hawa watu wako vizuri kabisa kichwan?
Sasa wanataka wampime mkojo for what?
[HASHTAG]#UKUKU[/HASHTAG]
Machafuko kwa vile Rais wa TLS kukamatwa?Hawa watu kuna kitu watagusa kitaleta machafuko makubwa sana kuzidi yale ya Arab spring
Kwani muda ulipita utabadilisha nini?Eeeeh
Kakataa kwa sababu anataka muda upite
Oyaaaaaaaaa
Kwani muda ulipita utabadilisha nini?
Mahakama ya kwenu? Kesi ya uchochezi jalafu upimwe mkojo? Utakua uwendawazimu.Itatoka tu amri ya mahakama apimwe; na atuambie hao wanaomuuzia ni kina nani. kukataa means kuja jambo anataka kulificha.
Wanataka kujiridhisha kama anatumia madawa ya kulevya maana kwa hali ya kawaida si rahisi kusimama na kumwita rais wa nchi dikteta uchwaraMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Na wewe una busara kweli?? Nonsense!!Sitashangaa maana jamaa busara ziro na majaziba kibao. Mimi siamini kama ataweza kuendesha kampeini na kushinda uraisi tena kihalali.