Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe shida yako mkojo?Hili ni jambo la kushangaza sana!
Ni kwa nini lissu aogope kupimwa mkojo ikiwa ni utaratibu wa kawaida sana kwa mtu anayehisiwa kuwa under influence of medication?
Gwajima alipimwa mkojo bila mtafaruku na akaachiwa bila shida.
Je lissu anaficha nini?
Kwa wataalamu wa afya watakubaliana na mimi kuwa mtu yoyote anayebwabwaja kiasi cha kukamatwa na polisi ni lazima apimwe ili kuondoa uwezekano wa yeye kuwa na chembechembe za ulevi.
Inashangaza sana kwa lissu kugomea kipimo cha kawaida kabisa ili kujisafisha na kuondoa doubts.
Nashauri Polisi wampeleke kwa mtaalamu wa afya ya akili ...psychiatrist ili kuondoa uwezekano wa ukichaa wa lissu...huku nako asije akagomea kwani itakuwa ni the so called "denial" au poor insight
Kama maprof ndo wanachaguliwa madiwani unategemea nn??shida nchi hii bwana wasomi na wasio wasomi hakuna tofauti wapo wanao sifia haya yanayo endelea
mmetega mtego ili mseme anatumia madawa ya kulevya.tumeshtukaItatoka tu amri ya mahakama apimwe; na atuambie hao wanaomuuzia ni kina nani. kukataa means kuja jambo anataka kulificha.
Gwajima na wale wengine walisingiziwa kujihusisha na madawa ya kulevya wakati Lissu amezushiwa kesi ya uchochezi, sasa mkojo na uchochezi wapi na wapiHili ni jambo la kushangaza sana!
Ni kwa nini lissu aogope kupimwa mkojo ikiwa ni utaratibu wa kawaida sana kwa mtu anayehisiwa kuwa under influence of medication?
Gwajima alipimwa mkojo bila mtafaruku na akaachiwa bila shida.
Je lissu anaficha nini?
Kwa wataalamu wa afya watakubaliana na mimi kuwa mtu yoyote anayebwabwaja kiasi cha kukamatwa na polisi ni lazima apimwe ili kuondoa uwezekano wa yeye kuwa na chembechembe za ulevi.
Inashangaza sana kwa lissu kugomea kipimo cha kawaida kabisa ili kujisafisha na kuondoa doubts.
Nashauri Polisi wampeleke kwa mtaalamu wa afya ya akili ...psychiatrist ili kuondoa uwezekano wa ukichaa wa lissu...huku nako asije akagomea kwani itakuwa ni the so called "denial" au poor insight
Kila mnachoambiwa mnakichukulia kwa jinsi mnavyolishwa. Kumtawala mjinga ni rahisi sana!Ndio maana alitaka kumfungulia kesi Makonda!
Dah huu mtandao ni hatari sana
ccm hamuaminiki mtamchanganyia na madawa ili mumkamatishe.kama mnataka wataalamu waitwe kutoka nje ya nchiKakataa kwa sababu anajijua!
Mrema kasema vipimo vimeshachukuliwa, sasa tumwamini nani?Mh. Lissu akataa kupimwa mkojo baada ya kufikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili.
Na kuhusu upekuzi mpaka sasa bado unaendelea na karibia wanafika mwisho na Rais wa TLS yuko katika hali mzuri kabisa (kwa mujibu wa mkewe).
Tuzidi kumwombea na kumtia nguvu.
My take: Hivi jamani hawa watu wako vizuri kabisa kichwan? Sasa wanataka wampime mkojo for what?
[HASHTAG]#UKUKU[/HASHTAG]
Bia si polisi wana kipimo chao wanachokitumia kupima madereva....na kipimo hicho kinahitaji mtu kuachama na kutoa hewa nje kwa nguvu kupitia mdomoni na kwenye kipimo chao! Au swali lako lililenga nini hasa?..., swali wewe umewahi kumuona Tundu Lisu akinywa bia?
kumuacha ndani bila mpango haiwezekani au umesahau yale matusi mliyotukanwa na majaji hapa arusha baada ya kuchelewesha dhamana ya lema?Dawa yake ni kumuacha kama wiki hivi lazima arosto ipande
Amegoma kwa sababu Lissu ni akili kubwa na anajua kuwa yeye ni akili kubwa inayopambana na akili ndogoHajaogopa bwana amegoma!