Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Hili ni jambo la kushangaza sana!

Ni kwa nini lissu aogope kupimwa mkojo ikiwa ni utaratibu wa kawaida sana kwa mtu anayehisiwa kuwa under influence of medication?

Gwajima alipimwa mkojo bila mtafaruku na akaachiwa bila shida.

Je lissu anaficha nini?

Kwa wataalamu wa afya watakubaliana na mimi kuwa mtu yoyote anayebwabwaja kiasi cha kukamatwa na polisi ni lazima apimwe ili kuondoa uwezekano wa yeye kuwa na chembechembe za ulevi.

Inashangaza sana kwa lissu kugomea kipimo cha kawaida kabisa ili kujisafisha na kuondoa doubts.

Nashauri Polisi wampeleke kwa mtaalamu wa afya ya akili ...psychiatrist ili kuondoa uwezekano wa ukichaa wa lissu...huku nako asije akagomea kwani itakuwa ni the so called "denial" au poor insight
Kumbe shida yako mkojo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe ukienda kuandikisha kupiga kura utakubali kupima stool kama mwandikishaji atakutaka?
 
Umeambiwa umeiba pesa oficini, unakamatwa unapelekwa polisi,
Polisu mmoja anasema wakupime "choo" kwa akili za kawaida utakubali?

Kwa namna tunavyoendesha vyombo vyetu ba taasisi zetu, ni rahis sana kumbambikia mtu kesi nyingine..... Au kuchafua jina la mtu bila sababu...

Lissu has played it smart
 
Hili ni jambo la kushangaza sana!

Ni kwa nini lissu aogope kupimwa mkojo ikiwa ni utaratibu wa kawaida sana kwa mtu anayehisiwa kuwa under influence of medication?

Gwajima alipimwa mkojo bila mtafaruku na akaachiwa bila shida.

Je lissu anaficha nini?

Kwa wataalamu wa afya watakubaliana na mimi kuwa mtu yoyote anayebwabwaja kiasi cha kukamatwa na polisi ni lazima apimwe ili kuondoa uwezekano wa yeye kuwa na chembechembe za ulevi.

Inashangaza sana kwa lissu kugomea kipimo cha kawaida kabisa ili kujisafisha na kuondoa doubts.

Nashauri Polisi wampeleke kwa mtaalamu wa afya ya akili ...psychiatrist ili kuondoa uwezekano wa ukichaa wa lissu...huku nako asije akagomea kwani itakuwa ni the so called "denial" au poor insight
Gwajima na wale wengine walisingiziwa kujihusisha na madawa ya kulevya wakati Lissu amezushiwa kesi ya uchochezi, sasa mkojo na uchochezi wapi na wapi
 
Mh. Lissu akataa kupimwa mkojo baada ya kufikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili.

Na kuhusu upekuzi mpaka sasa bado unaendelea na karibia wanafika mwisho na Rais wa TLS yuko katika hali mzuri kabisa (kwa mujibu wa mkewe).

Tuzidi kumwombea na kumtia nguvu.

My take: Hivi jamani hawa watu wako vizuri kabisa kichwan? Sasa wanataka wampime mkojo for what?

[HASHTAG]#UKUKU[/HASHTAG]
Mrema kasema vipimo vimeshachukuliwa, sasa tumwamini nani?
 
..., swali wewe umewahi kumuona Tundu Lisu akinywa bia?
Bia si polisi wana kipimo chao wanachokitumia kupima madereva....na kipimo hicho kinahitaji mtu kuachama na kutoa hewa nje kwa nguvu kupitia mdomoni na kwenye kipimo chao! Au swali lako lililenga nini hasa?
 
Dawa yake ni kumuacha kama wiki hivi lazima arosto ipande
kumuacha ndani bila mpango haiwezekani au umesahau yale matusi mliyotukanwa na majaji hapa arusha baada ya kuchelewesha dhamana ya lema?
 
Back
Top Bottom