TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hi ! Sir.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi ! Sir.
Kwani accredited labs hawawezi kucheza na matokeo?Hiyo lab ya Mkemia mkuu kwanza haiko accredited ............ Results kama hizo hazina credibility kwenye mahakama yeyote!!
haihusiani na kuchezea matokeo.Kwani accredited labs hawawezi kucheza na matokeo?
Big brother, kuna tatizo gani kupwimwa mkojo kubaini kama mtukanaji hakupovushwa na ngada?Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
HaiwezekaniNarudia tena kubashiri safari hii huyu jamaa atakaa sana ndani, inaweza fika miezi na miezi
Probably Lissu anachochea akiwa under influence/intoxicated. Lissu lazima apimwe kama anatumia sembe.Na uchochezi unapatikana kwenye mkojo wa mtu ....
Do you have confidence ?
sawa basi tutapeleka kwenye accredited lab kama hiyo ndio hoja.kwa nini agomee kupimwa?haihusiani na kuchezea matokeo.
Accreditation iko based on competence!!
Sembe haina uhusiano na huo Udikteta bali wanasaka mbinu za kuwakomoa tu lakini wakumbuke malipo ni hapa hapa Duniani walikuwepo akina Chiluba jirani hapo Leo hii wapo wapi?Probably Lissu anachochea akiwa under influence/intoxicated. Lissu lazima apimwe kama anatumia sembe.
Mkojo ni kwa ajili ya kupimwa kama anatumia kilevi cha ajabu!Vipi mnataka mkojo mnywe,wapumbavu kabisa na malofa wamejaa chama chakavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kipimo ni hukumu?Sembe haina uhusiano na huo Udikteta bali wanasaka mbinu za kuwakomoa tu lakini wakumbuke malipo ni hapa hapa Duniani walikuwepo akina Chiluba jirani hapo Leo hii wapo wapi?
Kwani kuna tatizo gani wakimpima? Je wakikuta kichwa cha mtu nyumbani kwake watakiacha Kwa sab hakihusiani na uchochezi? Think twice think big.Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli