Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana, lakini akipoteza bungeni kutapoa sana.
Inawezekana Kwa sab ngada inatumiwa na binadamu.....kama ni hivyo basi hata mtukufu ni mla ngada mzuri kwani naye kwa uropokaji ni balaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchochezi na mkojo wapi na wapi?Kama anatumia dona basi kwisha kazi yake
Huko Si ndiko alikokuwa anaenda mkutanoni na wenzake wamelalamika huenda kukawa kizuri kwake lkn anaruhusiwa kuchagua nchi anayotaka.Aisee, kwa rafiki yake bwana yule!!!
Hapa ni kwamba kila jitihada zinafanywa kuhakikisha kwamba anabambikiwa kesi ambayo haina dhamana...maagizo kutoka juu!Wameenda kwake ili waende na mihuri mifukoni wamchomekee kama walivyomfanyia manji lakini nadhani Mungu atamlinda kama alivyomlinda miaka yote.
we unaona kauli za lissu ni za mtu timamu lazima atakuwa anatumia sembe kama si bangi
Wewe ukishikiliwa kwa kosa la driving under the influence (drinking and driving) halafu ukachunguzwa kwa losa la kuvunja bank au kuua utaona ni Sawa!?sawa basi tutapeleka kwenye accredited lab kama hiyo ndio hoja.kwa nini agomee kupimwa?
Hao nia yao ni kumsumbua tu.
Hakuna jingine.
Uropokaji na ngada ni vitu vinavyoendana