Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda cha Arusha. Sema wanamzungusha huko kote kumcheleweshea dhamana akae lupango hadi j3.[emoji23][emoji23] wameona uropokaji sio wa kiwango hicho
navyojua ngada unakua uko cool sana
hio ngada ya wapi mkuu
Maamuzi kutoka Juu
PF3 inatoshaNaomba kufahamishwa unaweza kumchukua mtu vipimo bila hati ya mahakama?
Je polisi ana mamlaka ya kufanya vipimo bila ya mahakama? Je matokeo hayo yanaweza kuwa sehemu ya ushahidi?
Anapiga Tusker baridi kitambo tu. Hilo la unga ndo laweza kuwa kichekesho cha mwaka, hata wao polisi wanajua hatumii.Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani
Naomba ukasome kitabu hiki "udikteta: kiongozi cha mwanafunzi."Swali la kujiuliza hivi hizi nguvu zinazotumika dhidi ya Lissu na wenzie, kwanini zisitumike kwenye naendelea,?
Kwanini rais wangu mpendwa anatumia nguvu nyingi kwao ilihali uchapaji wake wa kazi tayari umeshawanyoosha?
Haoni kwamba kwa kufanya hivyo anapoteza nguvu kwa kitu kisichokuwa na manufaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zama za kusifu,kutukuza,na kumfurahisha bwana yule.Hapo ndipo panapowapa tabu watumishi wa serikali maana mkemia anatakiwa kutoa majibu yatakayomfurahisha Pogba vinginevyo utakuwa mwanzo wa kitumbua kutiwa mchanga
Waliosaini mikataba na kuitisha sheria za ovyo wakapimwe mkopo.Jingalao mbunge ni nani unazungumzia kupimwa vilevi wakati Nchi masikini kila kukicha waliingia mikataba ya hovyo hovyo wakiwa wazima kabisa bila kutumia vilevi...
Ili wauone unavyocochea.Mh. Lissu akataa kupimwa mkojo baada ya kufikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili.
Na kuhusu upekuzi mpaka sasa bado unaendelea na karibia wanafika mwisho na Rais wa TLS yuko katika hali mzuri kabisa (kwa mujibu wa mkewe).
Tuzidi kumwombea na kumtia nguvu.
My take: Hivi jamani hawa watu wako vizuri kabisa kichwan? Sasa wanataka wampime mkojo for what?
Bongo bahati mbaya....nimeanza kumuelewa YOUNG DALLAS SALAMA. Nchi inakera ka.a uko jehanamu...daaah Mungu tuhurumie waja wako.Hakuna adhabu kubwa kama kuzaliwa Tanzania
huyo Gwajima hajaigusa ikulu kama LissuMkuu kwa kuwa wewe umezoea kubambikiza unajua kila mtu anawaza kubambikizia? Kama kubambikiza ni rahisi kihivyo walishindwa nini kumbambikizia Gwajima?
Haahahahahhahhaah mkuu 😀😀Yote yanawezekana......
Na yakiwashinda, watasema walikuwa wanampima U.T.I