Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapokua mwanasheria unatarajiwa ufuate sheria na si kuvunja sheria. Sheria ni sheria. Lisu anajua fika who is the owner of law, au labda somo la 'what is law' lilimpita pembeni ndo maana amekua mropokaji/mkurupukaji.
Holy CrapUnapokua mwanasheria unatarajiwa ufuate sheria na si kuvunja sheria. Sheria ni sheria. Lisu anajua fika who is the owner of law, au labda somo la 'what is law' lilimpita pembeni ndo maana amekua mropokaji/mkurupukaji.
Kama ngada maana yake ni bangi,basi wengi watakuwa hawaijui!Maana ile unakuwa mtulivu,maneno machache,ila maamuzi magumu na hakuna hofu.[emoji23][emoji23] wameona uropokaji sio wa kiwango hicho
navyojua ngada unakua uko cool sana
hio ngada ya wapi mkuu
Maamuzi kutoka Juu
Kupima mkojo kutasaidia kujua km ana.UTI. asijehukumiwa kumbe mgonjwa .hua inaathiri akiliHili ni swali muhimu sana kwa wanaJF na wananchi kujiuliza.
Je lissu ametakiwa kupima mkojo baada ya mashtaka yake ya uchochezi(ambayo hatujajua kama ndio kosa) ?
au lissu ametakiwa kupimwa mkojo baada ya kupekuliwa nyumbani na kukutwa na ushahidi flani!
lissu anavuta bangiMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
naona unaombea itokee na haitokei
Mungu apitishe tu mbali haya mawazo ninayowazia isijekuwa kweli. Yaan ni miongoni mwa walamba ngada!! It is stunning
Wasiojua uongozi ni nini na utawala ni nini... wataona hii ni sinema....
Ila wazoef wa siasa na wanaojua uongozi ni nin... ma nidhamu ni nini... na nini maana ya raisi... isue kama hii haiwapi taabu... ni calculation ndoogo tu.
Mwissho wa picha woote tutaelewa.... safi waeshmiwa..
Tunaitaji wapinzani na sio wapingaji... tunahitaji mawazo chanya na si upotoshaji.
Kanyee debe tu nakuombea... si unajitangazia we msomi baba... hangaika na kina palamagamba
Sent from "La -Vista"
lissu anavuta bangi
Mkibanwa kwa hoja m akimbilia polisi......daaaaadek. Mttembea na TP mwaka huuUropokaji na ngada ni vitu vinavyoendana