mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Hutu jamaa fala sana
Kuna sehemu watu unaenda na maeneo yao wanakuja hawa na hawana ushamba huu sasa mtu kamq huyu anajifanya tiss unaweza kuta mzushi tu na hata akiwa tiss basi wamenuajiri mpumbv
Ova
Ni mikono mfululu yani🤣, napiga weights za kilo 40/40 kila siku! Konde moja tu ningehakikisha hata hamu ya ugomvi hana tena🤣. Jamaa kapigwa mtama tu kashuka kama ubua wa mahindi yani ni story za kusikitisha mno.Huyu Derrick sema alikutana na jamaa yuko vyombo. Kwa jinsi alivyovyokuwa anamjia huyo dogo hana weledi wowote kwenye mapigano ya ana kwa ana angekutana na vijana wa Mjini akina Extrovert angepigwa Keleb za maana hata bastola asijue iko wapi.
Hafungwi mtu humo, vinatembea vimemo shughuli inaisha😆Afungwe tuu hakuna namna
Meneja analaumiwa kwa sababu gani anatomber tu wakati wateja wake wanauana na silaha huko yeye hana habari 🤣Kwani meneja ye huko aliko anasemaje🤣🤣
Au ndo wewe yule?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kmmmk walaiTatizo la huyo kijana linaanzia kwenye jina lake la Junior. Kuna majina mtu akiwa nayo yanamfanya aendelee kujiona mtoto hata pale ambapo mavuzi yameota hadi kusini mwa mataco. Ipo haja ya kuangalia upya majina ya hawa vijana kabla ya kuwapa kibali cha kumiliki silaha za moto.
Hio idara si wanapachikwa watoto wa vigogo wastaafu sikuhiziHiyo idara inaajiri vijana wahuni siku hizi.
Pale wako kazini!!Ila hii dunia yani mtu mzima unahangaika na madisco na ulevi hadi asubuhi, ndio shida za hela za bure unakuwa kama mwehu tu
Ndo umegundua Leo?Hiyo idara inaajiri vijana wahuni siku hizi.
Hata huyo jamaa nae senge anagombaniaje demu klabu?Kama kuna mwenye picha ya Derick anaweza kutuwekea hapa ili tumjue vizuri huyu jamaa .Kila nikiangalia ile clip najisikia vibaya sana.Nadhani ni video mbya zaidi kwangu kwa mwaka huu.Hasa sababu ya ugonvi yenyewe
Ondoa hayo mawazo mkuu, jiandae kupiga kuraHuyu naye itabidi kesi yake ifuatiliwe kama ya wale wabakaji wa binti wa Yombo
Nchi ya hovyo hii🤣Meneja analaumiwa kwa sababu gani anatomber tu wakati wateja wake wanauana na silaha huko yeye hana habari 🤣
mke naye kule aliko ukute anagombaniwa na wengine ni mwendo waufuska tu siajabu ndo maisha yaoHivi mke unajiskiaje mume wako anagombania demu tena Yuko radhi hata kuua na wewe upo nyumbani
Huyo aliyekuwa anamla mtu dem ofisini ni nani!au meneja wa hiyo clubNchi ya hovyo hii🤣
Watu wanapasuana huku meneja ye busy anakula uroda ofisini
Nadhani huyu ataitwa polisi na wamechukua tukio lake makusudi Ili wakamwonyeshe ni mtu wa aina gani.na usikute lilifanyika siku ileile.aibu
Wengi wanadai boss wa hapo.ungeangalia video ungeona jinsi muhusika anavyotekodi hizo picha mjongeo Kwa simu.inaonyesha ni cctv ya eneo Moja.Huyo aliyekuwa anamla mtu dem ofisini ni nani!au meneja wa hiyo club
Ova