Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Huyu Derrick sema alikutana na jamaa yuko vyombo. Kwa jinsi alivyovyokuwa anamjia huyo dogo hana weledi wowote kwenye mapigano ya ana kwa ana angekutana na vijana wa Mjini akina Extrovert angepigwa Keleb za maana hata bastola asijue iko wapi.
Ni mikono mfululu yani🤣, napiga weights za kilo 40/40 kila siku! Konde moja tu ningehakikisha hata hamu ya ugomvi hana tena🤣. Jamaa kapigwa mtama tu kashuka kama ubua wa mahindi yani ni story za kusikitisha mno.
 
Tatizo la huyo kijana linaanzia kwenye jina lake la Junior. Kuna majina mtu akiwa nayo yanamfanya aendelee kujiona mtoto hata pale ambapo mavuzi yameota hadi kusini mwa mataco. Ipo haja ya kuangalia upya majina ya hawa vijana kabla ya kuwapa kibali cha kumiliki silaha za moto.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kmmmk walai
 
Kama kuna mwenye picha ya Derick anaweza kutuwekea hapa ili tumjue vizuri huyu jamaa .Kila nikiangalia ile clip najisikia vibaya sana.Nadhani ni video mbya zaidi kwangu kwa mwaka huu.Hasa sababu ya ugonvi yenyewe
Hata huyo jamaa nae senge anagombaniaje demu klabu?
 
Nchi ya Amani Sana hii.
Na huyu ashughulikiwe Kama kibaka mwingine yoyote anayetembea na silaha sehemu tulivu.
Je Ile risasi isingegoma ?
Serikali mkimtetea huyu Basi raia watajua mnatetea na kusimamia huu uozo uliopo.
Kama bar za Masaki sio safe, je za Tandika?
Watalii mnawapa picha gani Kama Masaki ndio hivi, huko Manzese Je?

Tafakari
 
Meneja analaumiwa kwa sababu gani anatomber tu wakati wateja wake wanauana na silaha huko yeye hana habari 🤣
Nchi ya hovyo hii🤣
Watu wanapasuana huku meneja ye busy anakula uroda ofisini
Nadhani huyu ataitwa polisi na wamechukua tukio lake makusudi Ili wakamwonyeshe ni mtu wa aina gani.na usikute lilifanyika siku ileile.aibu
 
Haya mtaani huko utasikia mama Habiba basi Baba Junior huko si nasikia kafanya fujo baa kugombea mwanamke yani katia aibuuu , iko hivi sisi sote tutasahau ila huko kitaani kwenu hayaishi acheni ulimbukeni na ushamba
 
Huyo aliyekuwa anamla mtu dem ofisini ni nani!au meneja wa hiyo club

Ova
Wengi wanadai boss wa hapo.ungeangalia video ungeona jinsi muhusika anavyotekodi hizo picha mjongeo Kwa simu.inaonyesha ni cctv ya eneo Moja.
Na ukiangalia vema mazingira yanafanana Kwa nje.
Na mi naona ni siku Moja Kwa maana polisi alifika eneo la tukio akaanza
na
matukio ya siku hiyo kurudi nyuma kidogo wakakutana na Hilo upande mwingine.
 
Back
Top Bottom