covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Sasa kazi hana wewe ndio uliyemwajiri..?Anajiharibia maisha kisa mwanamke? Upumbavu wa hali ya juu. Kazi hana
Usikute anapongezwa na boss kwa kumfundisha adabu raia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kazi hana wewe ndio uliyemwajiri..?Anajiharibia maisha kisa mwanamke? Upumbavu wa hali ya juu. Kazi hana
Hiyo ni 9.. kumi ilikua Kwa sababu ya Mwanamke.Ila hii dunia yani mtu mzima unahangaika na madisco na ulevi hadi asubuhi, ndio shida za hela za bure unakuwa kama mwehu tu
TISS ni taasisi ya usiri na ukimya sana na hata ikichafuliwa bado wako kimya ndio maana kila mtu anaweza akatumia uchochoro huo. Wengi wanaojifanya sio wao na wenyewe wala hawajifanyi sababu deep inside kufanya kazi kule sio rahisi kama watu wanavoona.Hongereni sana jeshi letu pendwa la police kwa kazi kubwa mnayoifanya...tunaomba huko mbele tupewe mrejesho kinachoendele..maswali yangu kwani siku hizi mtu akimiliki bastora anaitwa TISS? Je, TISS siku hizi wanafahamika kirahisi? au kuna watu wanapitia mgongoni mwao? kwamwenye uelewa anifahamishe.
SahihiTISS ni taasisi ya usiri na ukimya sana na hata ikichafuliwa bado wako kimya ndio maana kila mtu anaweza akatumia uchochoro huo. Wengi wanaojifanya sio wao na wenyewe wala hawajifanyi sababu deep inside kufanya kazi kule sio rahisi kama watu wanavoona.
Utajuaje kama mimi ndo mwajiri?Sasa kazi hana wewe ndio uliyemwajiri..?
Usikute anapongezwa na boss kwa kumfundisha adabu raia..
Sativa aliiposti Leo mjini XKama kuna mwenye picha ya Derick anaweza kutuwekea hapa ili tumjue vizuri huyu jamaa .Kila nikiangalia ile clip najisikia vibaya sana.Nadhani ni video mbya zaidi kwangu kwa mwaka huu.Hasa sababu ya ugonvi yenyewe
Kwahiyo brotherhood mmem-cut off?Derick hana akili kabisa, kweli aziniye na mwanamke hana akili, Derick hata ukitoka huna akili na kwenye vikao usije
Nadhani tutaipata profile yake kamili is a matter of timeSativa aliiposti Leo mjini X
Guiltness inawafanya wasipate raha kwa kula ugali na nyama na kulala mpaka waka boost kwa ulevi, ngono, na madawa makali.Ila hii dunia yani mtu mzima unahangaika na madisco na ulevi hadi asubuhi, ndio shida za hela za bure unakuwa kama mwehu tu
Huyu sio mwenzenu nyie mtibuni bwana Julian apone. Mengine muyaacha kama yalivyo.Huyu naye itabidi kesi yake ifuatiliwe kama ya wale wabakaji wa binti wa Yombo
Halafu mwanamke wa clubHuyo Afisa usalama sijui hana akili zama hizi unagombania mwanamke mpaka kutoa bastola
Humu, as long as kuna neno “mwanamke” atatukanwa tu. Wanawake wa humu tumeshazoea na halitupi shida.Sio vizuri kumuita yule binti demu mchafu. Kutokana na maelezo ya humu ndani alikuwa ameongozana na kaka yake. Bwana Derick akamtaka lakini akamkataa. Kaka yake alipoona jamaa ni king'ang'anizi ndio akaamua kumtetea. Mtu wa kulaumiwa hapa ni Derick na sio mtu mwingine. Kumuingiza huyu binti ni kumsafisha Derick. Sio vizuri.
Sio kila mwanamke anayeenda klabu anaenda kujiuza. Na hata kama anajiuza, haimfanyi jalala ambalo kila mtu anaweza kuondoka nae akijisikia.
Amandla...
Ningeshangaa nisingekukuta hapa 😜Siyo usalama, ni kibaka tu wa kawaida, anayetamani vyeo visivyo kuwa vyake na anafanya kazi TRA. Hajawahi kwenda kozi hata ya siku moja ya usalma wa Taifa. Mpuuzi tu aliyelewa akaamua kuchukua sheria mkononi kisa malaya wa Massaki.
Pia ana ukaribu na IGP wa sasa Camillius Wambura ( Mjomba wake), hivyo apuuzwe sio mtu wa kitengo.
Well said, kuna watu hawajui chanzo cha mahangaiko yao…… Wenyewe wanadhani wako timamu.Guiltness inawafanya wasipate raha kwa kula ugali na nyama na kulala mpaka waka boost kwa ulevi, ngono, na madawa makali.