Wamemshikilia kituo gani cha polisi?
Nimeona mtandao wa X wanandugu wanasema hawajui aliposhikiliwa.
Pia taarifa nyingine inasema jina hilo ni la kubumba.
Huyo ni mtoto wa aliyewahi kuwa gavana msaidizi wa BoT .
Polisi wajiondoe kwenye mtanzuko huo kwa kutoa taarifa zaidi za uwazi vinginevyo nii naona ni kama story ya Fatma Kigondo ukurasa wa pili.
Nimeona mtandao wa X wanandugu wanasema hawajui aliposhikiliwa.
Pia taarifa nyingine inasema jina hilo ni la kubumba.
Huyo ni mtoto wa aliyewahi kuwa gavana msaidizi wa BoT .
Polisi wajiondoe kwenye mtanzuko huo kwa kutoa taarifa zaidi za uwazi vinginevyo nii naona ni kama story ya Fatma Kigondo ukurasa wa pili.