Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Siku hizi kiwango cha mmomonyoko wa mapenzi kiko juu sana kiasi kwamba wanawake ndio wanatakiwa kugombania mwanamme.
Polisi fanyeni kazi yenu haki itendeke. Tunawaamini.
 
MENEMENE TEKERI NA PERESI mwanangu umefanya nimevuruga ukimia wa hapa kijiweni kwangu. Sasa mkuu kama uko vzuri fanya mpango tumtafute Derick mitaa yote ya Obay, Masaki na Msasani tumshikishe adabu.
nyboma wafundeni hawa vijana wanaharibu Image ya Kitengo
Siyo usalama, ni kibaka tu wa kawaida, anayetamani vyeo visivyo kuwa vyake na anafanya kazi TRA. Hajawahi kwenda kozi hata ya siku moja ya usalma wa Taifa. Mpuuzi tu aliyelewa akaamua kuchukua sheria mkononi kisa malaya wa Massaki.

Pia ana ukaribu na IGP wa sasa Camillius Wambura ( Mjomba wake), hivyo apuuzwe sio mtu wa kitengo.
 
Shukurani ziende kwa Milki wa Baa aliyeweka CCTV camera! Vinginevyo hiyo ilikuwa imetoka.
 
Siyo usalama, ni kibaka tu wa kawaida, anayetamani vyeo visivyo kuwa vyake na anafanya kazi TRA. Hajawahi kwenda kozi hata ya siku moja ya usalma wa Taifa. Mpuuzi tu aliyelewa akaamua kuchukua sheria mkononi kisa malaya wa Massaki.

Pia ana ukaribu na IGP wa sasa Camillius Wambura ( Mjomba wake), hivyo apuuzwe sio mtu wa kitengo.
Mkuu umesomeka! hujawahi kutuangusha. Over
 
Najiuliza hivi wanaoaga mapema kwa nini kama hawajamaliza kula ujana?imagine mke wa ndoa anamaumivu kiasi gani baada ya kuona video hiyo?kwa taswira hiyo tu ya muda mfupi inaoneka hata mkewe huko home anavumilia mengi anapigwa matukio si haba ..kuna ndoa wanawake wanapitia changamoto na machungu ni vile tu kuta zinaficha mengi..imagine huyo ni mume wa mtu wa ndoa kabisa ya kanisani anafanya usaliti wa namna hiyo kugombea malaya club ..aina hii ya wanaume ndo wanaoleta malaya kwenye vitanda wanavyolala na wake zao...Shameless kabisa
 
20241028_185756.jpg
 
Vetting mnazofanya kwa hawa vijana matokeo yake ndio haya sasa, chukua chukua tu kwenye vitengo makada, watoto wa makada na kamlete wengine matokeo yake ndio haya.

Afisa usalama aliyeiva hawezi kuwa mjinga kiasi hiki.
 
Wakuu,


Baada ya kuwepo kwa video zinazosambaa mtandaoni kuhusu mwanaume mmoja aliyedaiwa kuwa ni Afisa wa Usalama wa Taifa mwenye jina la Derick Junior kumpiga raia kwa kitako cha bunduki wakati akiwa kwenye 1234 club huko Masaki, Jeshi la Polisi hatimaye limetoa tamko.

Kwenye tamko lao, Jeshi La Polisi limethibitisha kumkamata mwanaume huyo na kusema kuwa kwa sasa wako kwenye mchakato wa kumpeleka kwenye hatua nyingine za kisheria.

Aidha Jeshi la Polisi lilisisitiza kuwa litamchukua hatua kali mtu yeyote anayemiliki silaha na kuitumia isivyopaswa.

Soma pia: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Okay...
 
Back
Top Bottom