Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni hivi, hawa vijana kinachowakuta ni laana, huwa wanatumika kuua na kuteka watu, sasa zile Dua za ndugu wa Marehemu (KURJUAN) ndio zinasababisha anakamatwa kibwege kwa kugombania demu mchafu.wanawake wenyewe wa mikorogo hawa, kah! ndio nigombane na mwanaume mwenzangu nilishaikataa hii
Wengi wao ukiacha kujua kuteka na kuua ni Washamba sana wa mambo mengi mno!
unagombea demu club wakati midemu imejaa kila kona!