Polisi wanaozunguka na magari hapa mjini wanamtisha nani..!?

Polisi wanaozunguka na magari hapa mjini wanamtisha nani..!?

Pendragon24

Member
Joined
Aug 8, 2018
Posts
68
Reaction score
97
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.

IMG-20240921-WA0009.jpg
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
Ungewapa makavu hapo hapo ulipowaona. Huwaogopi umeshindwa kuwachana live unakimbilia mitandaoni
 
Nasikia wamemwaga Tanzania nzima, ni kweli?
Bigari vyao 3 tu nguvu ya umma ni zaidi ya hata JW.....wanakula posho za bure hakuna wanaloweza kuzuia wanajifariji....eyi mbwa 4 na pick up kweliii???
 
Kwahiyo wao ndo wanaandamana badala ya chadema ? Sielewi. Ila all ina ll we need peace. Amani ni mhimu sana kwa maskini na tajiri
 
Mtu kawaona kwa macho badala ya kuwauliza wahusika anakimbilia humu kutuuliza sisi...hahaa
 
Labda wakiendelea kuwepo mitaani siku zote watekaji hawatapata upenyo!
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
Uzoefu kutoka duniani kote unaonyesha kwamba Umma haujawahi kushindwa kitu pale wanapoamua kwa dhati kabisa ya mioyo yao.

Aidha, nafikiri Chadema wanapaswa kutafakari kwa kina zaidi kuhusu suala hili,
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
Screenshot_20240204-103350.png

Wapo wanajiandaa
 
Back
Top Bottom