zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kwa hio ukiandamana unakua sio raia mwema? Where does this shit come from?Wako poa tu hawana shida na raia mwema
Endelea tu na shughuli zako za kutafuta riziki
Hata uone wamebeba vifaru mabegani
Endelea na maisha yako na biashara kama raia mwema