Polisi wanaozunguka na magari hapa mjini wanamtisha nani..!?

Polisi wanaozunguka na magari hapa mjini wanamtisha nani..!?

Nipe appointment ya interview unataka nije nikunyonye lini, mm muda wote nipo tayari.
Utaanza kazi Jumatatu Kesho kutwa.

Chakula na sehemu ya kulala vyote ni juu yangu. Utapata pia posho ya mavazi na ya kujikimu.

Nitakutumia barua ya ajira leo usiku.
 
Njagu wenyewe hawafiki 50000 nchi nzima.

Ni kwamba Wabongo hawajaamua tu kukinukisha, lakini wakiamua hao polisi ni wachache sana kufanya lolote.
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
amani yetu.png
 
Nchii hii haina amani na haijawahi kuwa na amani tangu uhuru.

Sema tu wananchi wa nchi hii wana uvumilivu wa hali ya juu ila swala la amani BIG NOO
Amani ipo kwa matajiri,wanasiasa na watoto wao wanaofaidi keki ya taifa hili ila sisi walala hoi hatujawahi kuiona hiyo amani.

Ndio maana tunaitafuta usiku na mchana
 
Uzuri waTz huwa tunaandamana online tu, mbwembwe nyingi ikifika siku ya tukio tupo busy mitandaoni kufuatilia yanayojiri. 😀😀😀
 
Raia ni wengi kuliko polisi!

Na sisi ndio wajiri wa polisi

Magari wanayoendesha ni Kodi zetu.

Uniform wanazovaa ni kodi zetu.

Wakae watulie raia wafanye KAZI ya SSH must go!
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.

Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.

Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.

Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.

Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.

Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
Kwani maandamano yameisha anza? Siwalisema itakuwa jumatatu?
 
Baada ya kuleta majeshi mengi ya Policcm toka nchi nzima natamani Chadema waaihirishe maandamano kwa wiki mbili jamaa waendelee kusota barabarani jijini kwa siku kumi na nne zaidi.
Najua hakuna posho za kulala hotelini au guest houses .👺
 
Back
Top Bottom