BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Utaanza kazi Jumatatu Kesho kutwa.Nipe appointment ya interview unataka nije nikunyonye lini, mm muda wote nipo tayari.
Sawa, naomba pesa ya kula ili nianze kuvuta nguvu. Namba yangu unayo tayariUtaanza kazi Jumatatu Kesho kutwa.
Chakula na sehemu ya kulala vyote ni juu yangu. Utapata pia posho ya mavazi na ya kujikimu.
Nitakutumia barua ya ajira leo usiku.
Nishaipoteza πππSawa, naomba pesa ya kula ili nianze kuvuta nguvu. Namba yangu unayo tayari
Niruhusu nkutumie PM πNishaipoteza πππ
Tuma kule kule kwa siku ile.Niruhusu nkutumie PM π
Ah nshafuta email zoteTuma kule kule kwa siku ile.
Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.
Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.
Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.
Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.
Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.
Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.
Nchii hii haina amani na haijawahi kuwa na amani tangu uhuru.
Umoja ni nguvu, tutawachana keshoUngewapa makavu hapo hapo ulipowaona. Huwaogopi umeshindwa kuwachana live unakimbilia mitandaoni
Kama huwaogopi kwa nini hukuwasimamisha na kuwashauri huu ushauri ulioandikia humu?Nasikia wamemwaga Tanzania nzima, ni kweli?
Ushauri gani tena rafiki?Kama huwaogopi kwa nini hukuwasimamisha na kuwashauri huu ushauri ulioandikia humu?
Kwani maandamano yameisha anza? Siwalisema itakuwa jumatatu?Kuelekea maandamano ya CHADEMA siku ya jumatatu 23.09.2024 kuanzia majira ya saa moja kamili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.
Polisi wanaweweseka kuzurula na magari yao kwenye baadhi ya njia kuu hapa mjini na kumaliza mafuta ambayo wangetumia kusaidia changamoto za utekaji wa watu nchini.
Wao wapo busy na magari yao kutisha wananchi ili waogope kushiriki maandamano hayo.
Nataka tu niwaambie enyi ndugu polisi HAKUNA MTUNAMTISHA wala hakuna mtu anayeogopa HIZO SIRAHA ZENU.
Tutashiriki maandamano hayo bila hofu na bila kumwogopa yeyote kwani hii ni ardhi yetu.
Mimi nimekutana nao pale kwenye mataa ya mwege asubuhi hii wamo ndani ya gari wanapigwa na jua la saa nne
Wengine nimekutana nao wanazunguka kutoka barabara hii ya Sam Nujoma wanaelekea mitaa ya Sinza.
Nguvu hii wanayoitumia kuzuia watu wangeitumia ku deal na watekaji TANZANIA ingekuwa salama kwetu sisi sote.
Kama nawewe kuna mahali umewaonaa wastue wana hapa waelewe kuwa HATUPO SALAMA.