Polisi watatu wafungwa miaka 20 jela kwa Rushwa

Legacy...
Mazoea...
 
Wewe unaonyesha kiwango cha uhaya*ani kwa familia yako kuanzia kwa aliekuzaa mpaka mtoto yako
Tusameheane bosi mkubwa kwenye ujumbe wangu wa mwanzo nilikosea kusema wewe mjinga, ila pointi yangu ilikuwa siasa za kuzushiana ni mbaya sana maana zinatuondoa kwenye kijadili mambo ya maana yenye maendeleo kwa nchi yetu
 
- Umeshindwa kutofautisha wizi wa tabia na wizi wa kutumwa, naona unaandika vitu jumla jumla tu, nimeshakwambia; kama hao polisi walifanya hivyo bila ya uwepo wa Magufuli, huo ni uthibitisho hiyo ilikuwa tabia yao, na hizo pesa walizichukua wao.

- Kuhusu matukio ya watu kutekwa, sijui kama umewahi kumsikia Dr. Ulimboka na alichofanywa msitu wa Mabwepande.

Nimekusoma mwishowe nakuona unakiri kama hata kama Magufuli hakuwatuma kufanya hivyo... hapo kumbe tunakubaliana huo wizi ni tabia binafsi ya wahusika ndio maana wakaifanya hata baada ya kuondoka kwake, wangekuwa hawana hiyo tabia wasingefanya hivyo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hawa ni majambazi tu hakuna kingine
Naomba tusikie wamefia kwenye mikono ya polisi pia huko jela kama majambazi wengine
Ila majina daa kweli upepo unavuma pande zote
Ila mnajua kuuchuna jamani
 
Hapa Faizafoxy sijui atasemaje sambamba na sakata la wiki iliyopita huko Arusha Bejamini Netanyahu
 
Kamanda Wankyo Ramadhan Nyegesa Aliiomba Nafasi Ya IGP Ili Alinyooshe Kwa Muda Mfupi
Likikaa Sawa Sawa Awaachie Wengine Sasa Wamemficha Sijui Wapi Maana Alipigwa Msukosuko Mpaka Akatupwa HQ
 
Asipotaja mwamba kasred kake hakatavutia, pia yamkin vyeti feki group hawa watu wa vyeti feki hawajawah kupoa maumivu yao dhidi ya Chuma JPM.

Mlinunua sana vyeti vya elimu na kujipachika ufaulu msiokuwa nao.

Hata tuiopo siku tukifika madarakani tunawanyosha vile vile.
 
Moderator badilisheni heading. Mungu ndiye anafahamu jinsi Dkt Magufuli alivyokuwa mzalendo kwa wananchi wake. Hao walikuwa wahalifu kama alivyo wahalifu wa mitaani na Dkt Magufuli alishafariki hayupo na kumhusisha ni kumkosea heshima
Acha ujinga wewe chawa. Magufuli alikuwa dikteta na chawa kuliko unavyoweza kudhani πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
 
Subiri za awamu hii na zenyewe akisha toka madarakani mtakuja kufunuliwa na kuona vishindo vya upigaji mshangilie hivi hivi
Kwa awamu hii, yumkini haupo uporaji wa pesa za watu mitaani, wanakomba tokea jikoni, na madeal ya kuuza rasilimali za nchi. Hawampori mtu mmoja mmoja kwa sababu hela itakuwa ndogo, wanawapora Watanzania wote kwa pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…