Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!

Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!

"Polisi waanza kuelewa" una hakika na hiyo statement yako?

Hao polisi wanacheza ngoma ya mtawala, hakuna walichoelewa hapo, akija mtawala tofauti nae atawachezesha ngoma yake tofauti nao wataicheza kama kawaida yao.

Ukitaka uwe na hakika kama wameelewa hilo somo, lazima itungwe sheria itakayowapa uhuru wa kutimiza majukumu yao bila hofu ya kutishwa na watawala wa CCM.
 
Do not be short-sighted, demokrasia haikuzwi kwa one aspect of maandamano...........naishia hapo


What are the Key Features of Democracy? (from google)​


Democracy is the most successful political idea in the world.
Democracy allows ordinary people a decisive say in who governs a country and how they govern it. It is based on a system of government by all the citizens of a country, typically exercised through elected representatives.
The concept of democracy is broad and diverse. Every country has a unique democratic system, and countries will therefore be ‘differently democratic’.
Democracy has many features: What then are the key features of democracy?
Although there are other aspects to democracy, we look at six key features. When these six main features are present it indicates a strong democracy.
They are:
1) Respect for basic human rights,
2) A multi-party political system paired with political tolerance,
3) A democratic voting system,
4) Respect for the rule of law,
5) Democratic governance, and
6) Citizen participation
Tunamshukuru Mama
 
"Polisi waanza kuelewa" unabhakika na hiyo statement yako?

Hao polisi wanacheza ngoma ya mtawala, hakuna walichoelewa hapo, akija mtawala tofauti nae atawachezesha ngoma yake tofauti nao wataicheza kama kawaida yao.

Ukitaka uwe na hakika kama wameelewa hilo somo, lazima itungwe sheria itakayowapa uhuru wa kutimiza majukumu yao bila hofu ya kutishwa na watawala wa CCM.
Una pointi
 
..maandamano na vyama vingi ni mambo yaliyopatikana wakati wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

..Rais Samia aruhusu Tume Huru,Katiba Mpya, Tume ya Ukweli na Maridhiano, ndipo apewe maua yake.
Tunamuombea Mungu ampe hekima hii
 
Huwa sielewi motive inayokuja baada ya maandamano.
Yaani unazunguuuka mitaani unapiga keleleee huku umebeba bango halafu unamaliza unarudi nyumbani kwako kulala.

Ni kama mtu apite mitaani awe anasema sina helaaa sina helaaa halafu arudi nyumbani kwake akalale bila kufanya juhudi ya kuitafuta hela.(kama nitamkwaza mtu samahani)

Siasa na mpira ni vitu vya kijinga sana. Mtu unakaa unaangalia watu wanakimbiza kitufe muda woote na kitufe kikiingia golini upande mtu anaoushangilia eti anakosa amani, unakuta mwingine mpaka anakufa. Yaani kitufe kupita katikati ya Milingoti miwili wewe unaathirika emotionally are you SIIIIIIRIIIIIAZ
CHADEMA HAWAJITAMBUI NA HAKUNA UPINZANI WA AINA HIYO DUNIANI HAO WANAPOTEZA MUDA WAO TU
 
ili maandamano yanoge lazima kuwe na vita kat ya waandamanaji na mapongo hii maandamano ya kusindikizwa na polis inakua imepoa sana
 
Hapa mbowe yupo sehemu the dons pale, anakunywa Serengeti lite ya baridiii, jana kashaingiziwa mzigo na wabelgiji,
Unaonaje ukiingiziwq na wewe! Si utakwenda kuenjoy Pepsi baridiiiii! Tafuta hela kijana acha wivu.
 
you take life too serious bro, easy up kidogo ts just a temporary thing
Sawa nenda kaanzishe vurugu wewe ya muda mrfu sisi tunafurahia hata hiyo amani ya muda mfupi iliyowashinda wengine.

Dr Samia is a hero
 
Back
Top Bottom