Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!

Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!

Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
View attachment 2971709

Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya amani katika Kata ya Kashai, Hamgembe, Bilele Rwamishenye, Manispaa ya Bukoba.
Waandamanaji namba moja nawaona kwa mbele, Safi sana Polisi😀😀😀
 
Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
View attachment 2971709

Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya amani katika Kata ya Kashai, Hamgembe, Bilele Rwamishenye, Manispaa ya Bukoba.

Polisi wakifanya jambo jema Wapongezwe, wakifanya baya walaumiwe

Walichokifanya katika Picha ni jambo jema sana, ndio utaratibu WAPONGEZWE
 
Back
Top Bottom