Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Iliyowashinda wengineKweli amefanya hisani !😅🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iliyowashinda wengineKweli amefanya hisani !😅🙏🙏
Sawa nenda kaanzishe vurugu wewe ya muda mrfu sisi tunafurahia hata hiyo amani ya muda mfupi iliyowashinda wengine.
Dr Samia is a hero
Kwakweli acha nitafute hela boss.Unaonaje ukiingiziwq na wewe! Si utakwenda kuenjoy Pepsi baridiiiii! Tafuta hela kijana acha wivu.
📝🔊🆒👌👍👊🤝👏🙏🥂Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
View attachment 2971709
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya amani katika Kata ya Kashai, Hamgembe, Bilele Rwamishenye, Manispaa ya Bukoba.
🤣 🤣 🤣Polisi wanaandamana sababu ya Kikokotoo.
Imebidi nicheke nilipokusoma mkuu 'Retired'. Naheshimu sana michango yako humu.Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
Maandamano huleta tija idadi inapokuwa kubwa. Mfano, kila mkoa watu waandamane kumkataa kiongozi kila siku kiongozi anatoka.Huwa sielewi motive inayokuja baada ya maandamano.
Yaani unazunguuuka mitaani unapiga keleleee huku umebeba bango halafu unamaliza unarudi nyumbani kwako kulala.
Ni kama mtu apite mitaani awe anasema sina helaaa sina helaaa halafu arudi nyumbani kwake akalale bila kufanya juhudi ya kuitafuta hela.(kama nitamkwaza mtu samahani)
Siasa na mpira ni vitu vya kijinga sana. Mtu unakaa unaangalia watu wanakimbiza kitufe muda woote na kitufe kikiingia golini upande mtu anaoushangilia eti anakosa amani, unakuta mwingine mpaka anakufa. Yaani kitufe kupita katikati ya Milingoti miwili wewe unaathirika emotionally are you SIIIIIIRIIIIIAZ
Ngoja mimi nikuchangie upande wa "mpira" tu, ingawaje nashawishika sana kuingia huko kwenye maandamano, ambayo wewe umeyapa fikra nyembamba sana.Hapana mkuu. Yaani hapa nilipo ni mtu mzima naweza hata nikawa baba yako lakini sijawahi kuelewa haya mambo ,sijui lakini labda mie ni mjinga.
Hapa ndipo penye changabaridi (.changamoto)Subiri uchaguzi wa mitaa, utarudi kuwalaumu.
Mwanaume kuwa mbeya mbeya utaishia kuingezewa ukubwa wa kipenyo Cha hilo TUNDU nyambafuHapa mbowe yupo sehemu the dons pale, anakunywa Serengeti lite ya baridiii, jana kashaingiziwa mzigo na wabelgiji,
Hawa ndaile kubi hawafiki hata hiyo! Wataondoka na 10m probablyWakistaafu wanapewa 18m
Katu haiwezi tokeo. Na kama ushapanuliwaga ww si kila mtu hupanuliwa sawa ndugu.Mwanaume kuwa mbeya mbeya utaishia kuingezewa ukubwa wa kipenyo Cha hilo TUNDU nyambafu
Tutaongea lugha Moja 🤣🤣🤣🪑💺🎶📌
Atafukuzwa kazi huyu askari🤣🤣🤣
Dah roho imeniuma sana, yaani wamewaachia waandamane???? Walitakiwa wawatengue viuno kwa kipigo cha mbwa koko wahuni kabisa hawaPolisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
View attachment 2971709
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya amani katika Kata ya Kashai, Hamgembe, Bilele Rwamishenye, Manispaa ya Bukoba.
Mungu amlinde sanaAtafukuzwa kazi huyu askari🤣🤣🤣
Safi sana
Wafadhili wajue nchi yetu ina Amani na Demokrasia iliyotukuka 🐼
Wewe una matatizo, RWANDA baada ya kutoka vitani ilishauriwa iwe na michezo mbalimbali ili kutibu majereha mbalimbali ya mauaji, ndipo ulisikia Kagame cup, nk. Maandamano ni burudani tosha siku moja ujiunge uone utamu wake, kuwa serious muda wote sio kupata hela maisha hayako hivyo.Ila wewe ulivyo yawezekana ukipata nafasi ya kuongoza hata michezo mashuleni utapiga marufuku, TFF utaifutilia mbali, sasa si uendawazimu huo??Huwa sielewi motive inayokuja baada ya maandamano.
Yaani unazunguuuka mitaani unapiga keleleee huku umebeba bango halafu unamaliza unarudi nyumbani kwako kulala.
Ni kama mtu apite mitaani awe anasema sina helaaa sina helaaa halafu arudi nyumbani kwake akalale bila kufanya juhudi ya kuitafuta hela.(kama nitamkwaza mtu samahani)
Siasa na mpira ni vitu vya kijinga sana. Mtu unakaa unaangalia watu wanakimbiza kitufe muda woote na kitufe kikiingia golini upande mtu anaoushangilia eti anakosa amani, unakuta mwingine mpaka anakufa. Yaani kitufe kupita katikati ya Milingoti miwili wewe unaathirika emotionally are you SIIIIIIRIIIIIAZ