Pre GE2025 Polisi watoa kibali cha maandamano kwa CHADEMA. Wawasisitiza viongozi kuepuka vitendo vya uvunjifu wa amani

Pre GE2025 Polisi watoa kibali cha maandamano kwa CHADEMA. Wawasisitiza viongozi kuepuka vitendo vya uvunjifu wa amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pamoja na katiba mbovu, Tume ya uchaguzi ya mchongo mengine ni.

1. Mgao wa kutisha wa umeme bila majibu

2. Gharama za Maisha kupanda mara 200.

3. Huduma mbovu za kijamii zimedumaa

4. Ubadhilifu wa Mali za umma umevuka mipaka
 
Hata ukiandamana umeme bado utaendelea kukatika.

WENYEWE WAMESHASEMA KUWA MAJI YANAGOMA KUINGIA KWENYE MABWAWA YA KUZALISHA UMEME.

20240115_233655.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Na kufanya usafi siku ya kesho tumesitisha, endeleeni ila kwa amani.
 
Kazi yangu kubwa kutafuta karatasi ya dhamana kwenda nayo centro in case Kiki happen
 

SIASA: Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limetoa kibali kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya Maandamano yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, 2024 katika baadhi ya Mitaa ya Jiji la Dar

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Kariakoo, Jeshi la Polisi limesema Maandamano hayo hayatazuiwa na Polisi iwapo tu hayataleta uvunjifu wa amani au kusababisha vitendo vya kihalifu

Jeshi la Polisi limeitaka CHADEMA kuhakikisha inazuia lugha za uchochezi na kejeli zinazoweza kusababisha uvunjifu wa Sheria. Pia, limeagiza kufuatwa kwa taratibu katika maeneo yote ambayo chama hicho kimetoa taarifa za kufanya maandamano
---
BARUA YA POLISI
Kumb.Na. GB.795/1054/01/03 23/01/2024
CHAMA CHA DF.MOKRAS1A NA MAENDELEO
PO BOX31191
UFIPA STREET KINONDONI
DAR ES SALAAM

FAX / TEL NO (0222668866)

email :info@chadema.or.lz
websiteiwww.chadema.or.tz

YAH: TAARIFA YA MAAMDAMANO

Tafadhali husika na soino tajwa hapo juu na rejea barua yako yenyc Kumb: Na.C/ADM/MS/l 1/59 ya tarehe 16/01/2024.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu zinazohusu ’'taarifa za MAANDAMANO, hayatazuiwa na Jeshi la Polisi iwapo Maandamano hayo hayataleta uvunjifu wa amani, au kusababisha kutendeka kwa vitendo vya kihalifu.

Kwa barua hii viongozi wa CDM na wanachama mnalojukumu la kuzuia lugha za uchochczi, kcjeli zinazowcza kupclekea kutendcka kwa vitendo vya uvunjaji wa shcria. Mtalaztmika kufuata utaratibu wa kisheria katika macneo yotc kwa kadri mtakavyoclekezwa na wasimamizi wa shcria Polisi w .kiwa ni kiongozi
katika eneo bilo mlilolitolca taarifa.

Maandamano hayo yasisababishe uvunjivu wa amani/watu kuibiwa au kuporwa na yawe kwenyc njia zilizokubaliwa.Taarifa ycnu pia izingatie muda wa kilichoelezwa kwenye barua ycnu ikiwa ni pamoja na kutoanzishwa mambo mengine ambayo hayamo kwenyc taarifa iliyotol'ewa Polisi.

5. Aidha ukiukwaji wowote wa masharti hayo utalilazimisha Jeshi la Polisi kuchukua hatua za kisheria bila kusita ili kuzuia madhara ya kuvunjika kwa amani.

6. Naamini msingi wa taarifa yenu utabaki kuwa ni kudumishwa kwa amani na utulivu uliopo nchini

MKUU WA POLISI (W) KARIAJ^QO,uXi
DARES SALAAM^a ya KA^Ak..

NAKALA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala - Kwa taarifa tafadhali.
Kamanda wa Polisi (M) Ilala - Kwa taarifa tafadhali.

PIA SOMA:
- Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23

- Kama Jeshi litafanya usafi tarehe 23-24, basi CHADEMA ifanye maandamano tarehe 25 wapite njia zikiwa safi

- CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Big up madam president samia
 
Huu ni mtego, anatafutwa mtu hapo.
Ilipaswa police wakatae ndo ingenoga we ushaona wapi Maandamano bila kauli za kukera aah waapi ilo litakua pambio la kwaya ya CCM sasa.
 
Kuna masadist hawafurahii kinachofanyika zama hizi za mama Samia furaha yao ni zama zile za andamaneni muone iiiiiiiiii zingeendelea.Kweli nimeamini hawa polisi wanaangalia mwelekeo wa Rais aliye madarakani wala si sheria inasemaje.Hongera sana mh Samia kwa kuja na mwelekeo mpya katika uendeshaji wa demokrasia ya vyama vingi hapa nchini.Licha ya kwamba kuna watu hawapendi mwenendo huu unaoenda nao hasa katika uimarishaji wa demokrasia ya vyama vingi
 

SIASA: Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limetoa kibali kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya Maandamano yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, 2024 katika baadhi ya Mitaa ya Jiji la Dar

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Kariakoo, Jeshi la Polisi limesema Maandamano hayo hayatazuiwa na Polisi iwapo tu hayataleta uvunjifu wa amani au kusababisha vitendo vya kihalifu

Jeshi la Polisi limeitaka CHADEMA kuhakikisha inazuia lugha za uchochezi na kejeli zinazoweza kusababisha uvunjifu wa Sheria. Pia, limeagiza kufuatwa kwa taratibu katika maeneo yote ambayo chama hicho kimetoa taarifa za kufanya maandamano
---
BARUA YA POLISI
Kumb.Na. GB.795/1054/01/03 23/01/2024
CHAMA CHA DF.MOKRAS1A NA MAENDELEO
PO BOX31191
UFIPA STREET KINONDONI
DAR ES SALAAM

FAX / TEL NO (0222668866)

email :info@chadema.or.lz
websiteiwww.chadema.or.tz

YAH: TAARIFA YA MAAMDAMANO

Tafadhali husika na soino tajwa hapo juu na rejea barua yako yenyc Kumb: Na.C/ADM/MS/l 1/59 ya tarehe 16/01/2024.

Kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu zinazohusu ’'taarifa za MAANDAMANO, hayatazuiwa na Jeshi la Polisi iwapo Maandamano hayo hayataleta uvunjifu wa amani, au kusababisha kutendeka kwa vitendo vya kihalifu.

Kwa barua hii viongozi wa CDM na wanachama mnalojukumu la kuzuia lugha za uchochczi, kcjeli zinazowcza kupclekea kutendcka kwa vitendo vya uvunjaji wa shcria. Mtalaztmika kufuata utaratibu wa kisheria katika macneo yotc kwa kadri mtakavyoclekezwa na wasimamizi wa shcria Polisi w .kiwa ni kiongozi
katika eneo bilo mlilolitolca taarifa.

Maandamano hayo yasisababishe uvunjivu wa amani/watu kuibiwa au kuporwa na yawe kwenyc njia zilizokubaliwa.Taarifa ycnu pia izingatie muda wa kilichoelezwa kwenye barua ycnu ikiwa ni pamoja na kutoanzishwa mambo mengine ambayo hayamo kwenyc taarifa iliyotol'ewa Polisi.

5. Aidha ukiukwaji wowote wa masharti hayo utalilazimisha Jeshi la Polisi kuchukua hatua za kisheria bila kusita ili kuzuia madhara ya kuvunjika kwa amani.

6. Naamini msingi wa taarifa yenu utabaki kuwa ni kudumishwa kwa amani na utulivu uliopo nchini

MKUU WA POLISI (W) KARIAJ^QO,uXi
DARES SALAAM^a ya KA^Ak..

NAKALA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala - Kwa taarifa tafadhali.
Kamanda wa Polisi (M) Ilala - Kwa taarifa tafadhali.

PIA SOMA:
- Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23

- Kama Jeshi litafanya usafi tarehe 23-24, basi CHADEMA ifanye maandamano tarehe 25 wapite njia zikiwa safi

- CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hii sasa ndio demokrasia lakini hapo kwenye uvujivu wa amani naona kama polisi wamewatega CHADEMA kwani hilo sio jukumu lao bali ni juikumu la polisi.
 
Ni game ya kuviziana ngoja tuone baada ya dakika 90
 
Back
Top Bottom