Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani sasa mama anatakiwa atoe japo kauli ya kiuongozi ili hao wafahamu sasa ni awamu nyingine!!kwa sasa siasa zile za kishamba hazina nafasi!!kwani anavyo yakalia kimya tu, sio picha nzuri, wakati wananchi wana imani naye kuonyesha mwanga mpya!!
TanPol ni kifupi cha Tanzanian Police (Jeshi La Polisi Tanzania).Wamevamiwa na Tanpol
Tanpol ndio nini ????
Kwenye fomu za uchaguzi wagombea wetu walikuwa wanakatwa na Tume. You can now see why. Sehemu za kujaza jina la chama tulikuwa tunajaza MOVEMENT FOR CHANGE!
Hatujifunzi.
Wewe ndio wa kuumizwa na uonevu kwa Chadema !Wamevamiwa na Tanpol
Tanpol ndio nini ????
Kwenye fomu za uchaguzi wagombea wetu walikuwa wanakatwa na Tume. You can now see why. Sehemu za kujaza jina la chama tulikuwa tunajaza MOVEMENT FOR CHANGE!
Hatujifunzi.
Kwani wewe ni akili ya mama kama unataka u raisi si ugombee yaani kila kitu mama polisi wafanye yao eti mama sema Acheni majunguNadhani sasa mama anatakiwa atoe japo kauli ya kiuongozi ili hao wafahamu sasa ni awamu nyingine!!kwa sasa siasa zile za kishamba hazina nafasi!!kwani anavyo yakalia kimya tu, sio picha nzuri, wakati wananchi wana imani naye kuonyesha mwanga mpya!!
Sasa taifa linapumua vipi kama bado wapinzani wanakataliwa kufanya hata mikutano ya ndani? haki inakandamizwa unashangilia kisa mkandamizaji sio mwendazake!Tuweke masihara pembeni, toka John arudishe usajili kwa Sir God vyama vya upinzani na wafanyabiashara wamepata likizo ya mapumziko kwa miezi miwili sasa.
Yule mzee alikua katili, ilikua hazipiti siku mbili bila mwanachama wa upinzani kung'olewa meno, kuswekwa ndani, kuvamiwa. Wafanyabiashara nao hazipiti siku tatu kuchezea kesi za uhujumu uchumi na kukwepa kodi.
Ilikua ndani ya siku 5 taifa linapokea mpaka Breaking News 400, hujui uanze kusoma breaking news ipi na uache ipi. Roho zilikua juu juu kila dakika. Hata uamke saa 8 usiku unakutana na breaking news.
Mungu asante kwa hilo. Taifa limepumua.
Upo sahihi mkuu,sasa hivi chadema wapo kuisifia ccm huku wakisahau kupigania mambo yao ya msingiSasa taifa linapumua vipi kama bado wapinzani wanakataliwa kufanya hata mikutano ya ndani? haki inakandamizwa unashangilia kisa mkandamizaji sio mwendazake!
Uminywaji wa demokrasia upo wa aina nyingi sio lazima kuteka na kupiga wapinzani, hata kuwanyima kufanya shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria ni ukatili pia lazima ukomeshwe, sioni nafuu hapo.
Mzimu wa lile jitu bado unawatesa polisi wetu.Acheni ujinga!!
Magu kafa yupo mama sasa Mzee anaingiaje hapo!
Au Magu huko kaburini aliko anawaagiza hao polisi
Tumia akili mtoa mada, kama mnashindwa au mnaogopa kumsema mama elewekeni aisee
Ujuaji mwingi mwisho ujingaWamevamiwa na Tanpol
Tanpol ndio nini ??