Polisi wavamia CHADEMA Karatu ni muendelezo wa siasa zilizopitwa na wakati

Polisi wavamia CHADEMA Karatu ni muendelezo wa siasa zilizopitwa na wakati

Nadhani sasa mama anatakiwa atoe japo kauli ya kiuongozi ili hao wafahamu sasa ni awamu nyingine!!kwa sasa siasa zile za kishamba hazina nafasi!!kwani anavyo yakalia kimya tu, sio picha nzuri, wakati wananchi wana imani naye kuonyesha mwanga mpya!!
Mikutano ya siasa imezinduliwa lini?? Nawauliza chadema.
 
TanPol ni kifupi cha Tanzanian Police (Jeshi La Polisi Tanzania).
Hakuna kitu kama hicho.

Hakuna kitu kinachoitwa Tanzanian Police

Jeshi la Polisi Tanzania kwa Kiingereza ni Tanzania Police Force

Kifupi chake ni TPF

Upinzani tuwekeze kwenye elimu za viongozi wetu, hatuwezi kuwa na watu hawajui jina rasmi la taasisi ya polisi.
 
Wamevamiwa na Tanpol

Tanpol ndio nini?..
POLE,
Hivi ndugu bado unaendelea kushangilia huo ujinga wa Jiwe Investments Company Ltd?

Picha ya Jiwe aliyokuwa ameambatanisha kwenye fomu za kugombea ilibadilishwa na Tume haraka sana baada ya kuwekewa pingamizi na Mgombea Tundu Lissu. Ilikuwa haionyeshi sikio la kushoto kama ilivyokuwa picha rasmi ya Raisi.

Lakini wagombea wa upinzani na hasa CHADEMA walienguliwa kwa sababu ya picha zilizokuwa zinafaa zaidi kuliko hiyo ya Jiwe.

Mungu wa kweli, mwenye upendo aliamua akaweka mkono wake ili kuliokoa taifa letu kutoka kwenye maafa ambayo JICL ilikuwa imeshatufikisha.
 
Huu ni uonevu mkubwa. imhotep

jath.gif
 
Mikutano ya siasa imezinduliwa lini?? Nawauliza chadema.
Kwa ilizuiliwa kwa sheria ipi? Katika bunge la awamu ya tano, swali hilo aliwahi kuulizwa PM Majaliwa, na aliyekuwa KUB Mbowe. Hakutoa hicho kifungu cha sheria kwa vile hakipo.
 
Kwa ilizuiliwa kwa sheria ipi? Katika bunge la awamu ya tano, swali hilo aliwahi kuulizwa PM Majaliwa, na aliyekuwa KUB Mbowe. Hakutoa hicho kifungu cha sheria kwa vile hakipo.
Huko kwenye kikundi chako sheria na katiba vinafuatwa??
 
Hakuna kitu kama hicho.

Hakuna kitu kinachoitwa Tanzanian Police...
Acha ubishi wewe, Tanpol ndio jina wanalotumia kwenye mitandao ya kijamii kama twitter . FB na instagram
 
Shida ya Police ni ufinyu wa uelewa,
Kwa watu wenye uelewa wa kutosha ilikuwa wawe tayar wamejua ni kiongozi wa aina gani walie nae kwa sasa.

Kufanya haya ni dhahiri Police wanamfanya mama aonekane anaongea uongo kwa kile anachokihubiri tangu aingine madarakani.

Police msimgombanishe Mama na wanachadema, msimfanye mama aonekane mnafiki ili hali mama ni mcha Mungu asiye na unafiki.
 
Hivi kazi ya tume ni kwenye uchaguzi tu au pia nakusimamia vyama ?
 
Mikutano ya siasa imezinduliwa lini?? Nawauliza chadema.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo,CHADEMA Kina hadhi kama kilivyo CCM, Kina usajili wa kudumu, kipo kisheria, suala la mikutano kufanyika sio ombi la mtu yeyote, Maana kilipata Usajili wa kazi gani ikiwa mikutano hairuhusiwi.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimba akiyokuachia hayati inakutesa sana
Hujaachaga ung*se tu mkuu??? Licha ya kukuchangia hela kibao kwenye ma group ya whatsapp mara mbili ili uende ukapigwe bomba muhimbili. Utapata cancer ya utumbo pamoja na bawasiri.
 
Back
Top Bottom