Hapa Makete, njia panda Tukuyu Gulioni, na viunga na vijiji vyote across the vast countryside of this nation WATANZANIA TULIO WENGI tunatumia simu za tochi!Acha ubishi wewe, Tanpol ndio jina wanalotumia kwenye mitandao ya kijamii kama twitter . FB na instagram
Hamna jipya hapo ufipaniKik
Huku mambo swafi kabisa. Mnaendeleaje na mipango ya kumfuata Mwendazake huko kwa malaika?
Kwani simlisema mpaka tume huru ikipatikana ndo mtafanya siasa, sasa imekuwaje tena??Chama cha Demokrasia na Maendeleo,CHADEMA Kina hadhi kama kilivyo CCM, Kina usajili wa kudumu, kipo kisheria, suala la mikutano kufanyika sio ombi la mtu yeyote, Maana kilipata Usajili wa kazi gani ikiwa mikutano hairuhusiwi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hii tabia ya kumsema mwendazake ni tabia ya hovyo sana.Acheni ujinga!!
Magu kafa yupo mama sasa Mzee anaingiaje hapo!
Au Magu huko kaburini aliko anawaagiza hao polisi
Tumia akili mtoa mada, kama mnashindwa au mnaogopa kumsema mama elewekeni aisee
Tuweke masihara pembeni, toka John arudishe usajili kwa Sir God vyama vya upinzani na wafanyabiashara wamepata likizo ya mapumziko kwa miezi miwili sasa.
Yule mzee alikua katili, ilikua hazipiti siku mbili bila mwanachama wa upinzani kung'olewa meno, kuswekwa ndani, kuvamiwa na kutekwa. Wafanyabiashara nao hazipiti siku tatu kuchezea kesi za uhujumu uchumi na kukwepa kodi.
Ilikua ndani ya siku 5 taifa linapokea mpaka Breaking News 400, hujui uanze kusoma breaking news ipi na uache ipi. Roho zilikua juu juu kila dakika. Hata uamke saa 8 usiku unakutana na breaking news.
Mungu asante kwa hilo. Taifa limepumua.
Chama kikongwe sana mbona mwaiogopa namna hii, TUME huru.Kwani simlisema mpaka tume huru ikipatikana ndo mtafanya siasa, sasa imekuwaje tena??
ChChama kikongwe sana mbona mwaiogopa namna hii, TUME huru.
Hayo yanatoka kwenye njozi zako. Wasalimie wenzio mnaoendelea msibaKwani chama chenu kipya mbona mlisema hamtofanya siasa hadi time huru ipatikane, au ilikua KIKI zenu kama kawaida yenuuu??
Ch
Jf unafanya nn hapa kama Tanpol hujui usaidiwe (Tanpol_ Tanzania police)Wamevamiwa na Tanpol
Tanpol ndio nini ????
Fomu za wagombea wetu zilikuwa zinachanwa na Tume ya Uchaguzi. You can now see part of the reason why. Sehemu za kujaza jina la chama tulikuwa tunaandika MOVEMENT FOR CHANGE!
Hatujifunzi.
Huna loloteHayo yanatoka kwenye njozi zako. Wasalimie wenzio mnaoendelea msiba
CDM mna haraka sana!!! Angalieni kwanza upepo unaendaje. Watawala ni wale wale hawajabadilika itikadi. Ni sura tu imebadilika lakini sera ni zile zile, Be cautious!!!!
anhaa, kwa hiyo hiyo taarifa ya CHADEMA wameitoa kwa umma wa JF ?Jf unafanya nn hapa kama Tanpol hujui usaidiwe (Tanpol_ Tanzania police)
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Nje ya JF wanaelewa Tanpol...wewe ndan ya Jf hukujua ndomana nimerefusha uelewe....anhaa, kwa hiyo hiyo taarifa ya CHADEMA wameitoa kwa umma wa JF ?