Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Naunga mkono hoja maeneo ya sinza kule ndio michezo Yao hii Cc ephen_
 
Kupigwa mande maeneo ya Yombo, vingunguti , KISIJU , kwa Mpalange, Kwa bonge na maeneo kama hayo ni kawaida sana.

Ndio maana wala jamii ya kiswahili hawana mshtuko.
Wanawale wanaharakati, wabunge viti maalum ambao infact hawana kazi maalum wapo kimya hata kwenye page zao wapo kimya.
Wanaompambania huyu binti ni watu wenye maisha bora, watoto wao wapo salama kwenye school bs na shule nje ya nchi , wenye watoto mazingira hatarishi wapo na habari za Pacome na Aziz Ki, haya hayawahusu.
 
Mlaumu mume wako kwa kukosa akili ya kuitunza familia yake, mchepuko hauna makosa yoyote, lijinga ni li mume wako!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…