Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatarii mnoo nduguWatu wana stress zao za maisha magumu halafu wasikie unatembea na wake zao ama waume zao.
Ogopa sana
taatifa hii akiweka picha tu.uzi unafutwa huko.wenye mamlaka washatoa onyo kwa wanaoendelea kusambaza taarifa na picha.Umeweka taarifa haina picha au hata Maelezo ya kutosha tulia utupe taarifa zinaeleweka
tatizo kubwa ni elimu kwenye majeshi yetu mkuu.
Kinachonihuzunisha zaidi ni kusikia fununu kuwa wale vijana ni ama Polisi au wanatoka JWTZ.
Ni muda sasa majeshi yetu hayo mawili yajitenge na huo uovu kwa kuwakana au kuwakubali na kuwashughulikia kwa uwazi.
tatizo kubwa ni elimu kwenye majeshi yetu mkuu.
sio askari ni machalii wahuni tu wa mtaani.Kama kweli ni wanajeshi, Jeshi likiwaficha itakuwa ni aibu kuu!
Ili kujitenga huu ushenzi, ni muhimu mamlaka 'zikamtapika' mpaka huyo afande aliyewatuma.
Hatuwezi kuwa na watekelezaji wa sheria washenzi kiasi hiki.
Tatizo ni kuwa hapa bingo mtu akishakuwa askali anajiona answeza fanya lolote lile kama vile wakuu zake eanavyofanyaKama kweli ni wanajeshi, Jeshi likiwaficha itakuwa ni aibu kuu!
Ili kujitenga huu ushenzi, ni muhimu mamlaka 'zikamtapika' mpaka huyo afande aliyewatuma.
Hatuwezi kuwa na watekelezaji wa sheria washenzi kiasi hiki.
Kinachonihuzunisha zaidi ni kusikia fununu kuwa wale vijana ni ama Polisi au wanatoka JWTZ.
Ni muda sasa majeshi yetu hayo mawili yajitenge na huo uovu kwa kuwakana au kuwakubali na kuwashughulikia kwa uwazi.
Ni kweli kabisa.tatizo kubwa ni elimu kwenye majeshi yetu mkuu.
Sasa hao wanawake wasio na waume wataishije? Na inasemwa wanaume ni wachache. Hivi zama za kale iliwezakana vipi hadi mwanaume kuoa wake 400?achana na wanaume za watu.
🚮🚮🚮Its simple, achana na wake za watu. Its easy, achana na wanaume za watu.
Njaa isikuamlie, Tamaa isikufundishe.
Pia soma: Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
Wanadamu tumekuwa wachungu sana, hali ni ngumu na vitu ni gharama, stress kibao alafu leo mtu asikie unatembea na mwenza wake eti akuache hivi hivi. NO WAY.
Mara nyingine unakuta vijana ME humu jf wanaandika kusifia kula wake za watu.
Wengine vijana KE humu anaandika eti anaomba ushauri anampenda bwana ila ana mke.
Shauri zenu.
Hahahahaha katika sehemu siwezi kukaa sinza ,na mtu anayekaa sinza hata mm simuaminiSinza kumechafuka,mimi na umjini wangu lakini nawashangaa
Watu wanaoishi sinza na familia zao
Ova
😂😂😂Polisi wameshindwa kutuambia makonda Yuko wapi .Kwa Sasa wanajiweka kimbelembele kuchunguzwa la kubaka.
Hii issue inatakiwa kutolewa statement na jeshi.
Kinachonihuzunisha zaidi ni kusikia fununu kuwa wale vijana ni ama Polisi au wanatoka JWTZ.
Ni muda sasa majeshi yetu hayo mawili yajitenge na huo uovu kwa kuwakana au kuwakubali na kuwashughulikia kwa uwazi.
Hata basi PM mkuutaatifa hii akiweka picha tu.uzi unafutwa huko.wenye mamlaka washatoa onyo kwa wanaoendelea kusambaza taarifa na picha.
Ila alicho fanya yeye kutembea na Mume wa mtu ndio halali au sio 🤣🤣 mabinti wa dizaini io io ndio adhabu yao inayo wafaa kwasababu ndio kitu wakipendacho.Its simple, achana na wake za watu. Its easy, achana na wanaume za watu.
Njaa isikuamlie, Tamaa isikufundishe.
Pia soma: Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
Wanadamu tumekuwa wachungu sana, hali ni ngumu na vitu ni gharama, stress kibao alafu leo mtu asikie unatembea na mwenza wake eti akuache hivi hivi. NO WAY.
Mara nyingine unakuta vijana wa kiume humu JamiiForums wanaandika kusifia kula wake za watu. Wengine vijana wa Kike humu anaandika eti anaomba ushauri anampenda bwana ila ana mke.
Shauri zenu.