Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Hii issue inatakiwa kutolewa statement na jeshi.

Watu wametoa mpaka jina, namba ya simu, viongozi wa mtu jeshini alivyokuwepo. Ingawa kuna mtu alifukuzwa jeshini, tunahitaji statement kamili kutoka jeshini.
Nashangaa pia kuona hadi sasa JWTZ halijasema lolote kuhusu hao vijana kuhusishwa na JWTZ.

Hata hivyo nchi yetu ni nchi ya kushangaza.
 
Ila alicho fanya yeye kutembea na Mume wa mtu ndio halali au sio 🤣🤣 mabinti wa dizaini io io ndio adhabu yao inayo wafaa kwasababu ndio kitu wakipendacho.
Hapana wasifanywe hivyo,tuboreshe malezi katika ngazi ya familia,watu waheshimu wake za watu,na wake za watu wajiheshimu,vijana wawe na spirit ya kufanya kazi kwa kujituma,wasipende miteremko.
Kama vijana wa kiume au wa kike wameona njia rahisi ya kutatua shida zao ni kutoka na wamama au wadada,wajitahidi kujiridhisha kua hao watu ni wale walioachika almaarufu kama making madha.
Malezi ndo chanzo.
 
Ila alicho fanya yeye kutembea na Mume wa mtu ndio halali au sio 🤣🤣 mabinti wa dizaini io io ndio adhabu yao inayo wafaa kwasababu ndio kitu wakipendacho.
Wewe naye, aliyewatuma kwanza ameweka maisha yake rehani kwa kufanya ujinga wa kiwango kikubwa. Hawa vijana na bangi zao wanaweza kubaka hadi aliowatuma na kumuua wakidhani wanapoteza ushahidi. Unapofanya jambo unatakiwa ufikiri mara mbili.
 
Wewe naye, aliyewatuma kwanza ameweka maisha yake rehani kwa kufanya ujinga wa kiwango kikubwa. Hawa vijana na bangi zao wanaweza kubaka hadi aliowatuma na kumuua wakidhani wanapoteza ushahidi. Unapofanya jambo unatakiwa ufikiri mara mbili.
Hakika
 
Sema watoto wa sasa wanasikitisha sana,yaani mtoto mdogo unabakwa kama unakula ice cream.
 
Polisi vpi bado hamjawapa?
Au mnasubiri mtoto wangu ajinyonge kwa stress?
 

Attachments

  • IMG_9974.jpeg
    IMG_9974.jpeg
    148.9 KB · Views: 3
Hii issue inatakiwa kutolewa statement na jeshi.

Watu wametoa mpaka jina, namba ya simu, viongozi wa mtu jeshini alivyokuwepo. Ingawa kuna mtu alifukuzwa jeshini, tunahitaji statement kamili kutoka jeshini.
Jeshi letu ni moja ya taasisi yenye watu vilaza kuanzia juu kabisa kwa huyo jenerali wao mpaka huko chini!

Hao watu huwa wanajiona kuwa wao ni ‘species’ nyingine kabisa.

Ndo watu wanaoongoza katika kuvunja sheria na kunyanyasa watu.

Binafsi sitegemei waje watoe kauli yoyote ile yenye akili.

Miezi kadhaa iliyopita msemaji wao alisema kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani 🤣.

Wanajeshi wa Tanzania kila mara wananyanyasa watu.

Lakini tatizo kubwa zaidi ni uoga walionao wananchi dhidi ya hilo jeshi na hivyo manyanyaso mengi huwa hayasikiki.

 
Back
Top Bottom