Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Kafanyiwa ukatili sana. Rais asaini kunyonga hawa this is as clear as the daylight
 
Jeshi la Polisi limesema limeona taarifa na clip kwenye mitandao ya Kijamii ya Mwanamke anayebakwa na Wanaume Watatu kwa wakati mmoja

Jeshi la Polisi limesema linafuatilia tukio hilo la kinyama na kuwataka Wananchi wenye taarifa za kufanikisha Watu hawa Kukamatwa mara Moja waziwasilishe polisi

Taarifa imetolewa na DCP Msiime
Msemaji wa Polisi

Pia soma

View attachment 3061184
Lakini walipomkamata Chaila na Optatus hawakuomba taarifa za ushirikiano kutoka kwa wananchi....

Super bias hili jeshi letu
 
Mzee angalia vinzur, demu mpka anaomba maji means amekaukiwa Kwa kukosa mate mdomoni kutokana na kunyonya mboo ya mshkaji Kwa kishurutishwa bila hisia, jamaa akamtishia anataka kumpga na chupa,ikabidi demu aendelee hivohivo. So sad
Nimeona jamaa yangu. Kuna mmoja jina kashajulikana. Na jeshi analofanyia kazi.
 
Dah inahuzunisha sana. Ni jana tu tumetoka kuhani msiba wa gaidi la kipalestina Haniyeh Qatar tena hatujakata vizuri demu wana groupsex.

Imam Hussein kipenzi chetu cha dhati tusaidieeee
Kwakweli Imaam Hussein atusaidie maana tunakoelekea siyo kabisa.
 
huyo kijana amewai kuishi mbagala mtoni kijichi pia shule ya msingi amehitimu 2010 ni classmate wangu ni muuni mzuri san nakumbuka pia darasa la 4 nishawai kupigana nae kwa utata wake wa kijinga 😀

Jamii tulee vijana wetu vizuri leo ndio nimeamini kuwa yote yanayotokea kwa mtu ni kulingana na misingi yake tangu udogoni
 
Back
Top Bottom