Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Acha hisia mkuu. Hapo mie sioni kama ni issue kubwa kivile kama wale walochinja watoto au kuchoma mwenzake kisa haya maujinga.
Ifike mahala tujue makosa makubwa zaid ya mengne kwa adhabu.
Hiv yule alomchoma mme wake ndan had akafa we waonaje?.isiwe kisa umeona wahun wakipeleka moto ukafa ganziii.

Siungi mkono walichofanya ila sipendi tuwe kihisia zaid katika makosa haya ya jinai maana kunapoteza uhalisia. Pia tukumbuke kuna watoto wanalawitiwa na kuharibika kabisaaa tofaut na huyo mtu mzima ambaye aliyatafuta. Ila mtoto alolawitiwa anakosa ganiii?
🚮
 
Mkomavu tu yule
Hata mimi nimeona ni mkomavu na alifanya makosa kutembea na mume wa mtu lakini wale vijana na aliowatuma wamefanya Ushetani mkubwa ambao hautakiwi kuungwa mkono kama ambavyo wewe unafanya
 
Acha hisia mkuu. Hapo mie sioni kama ni issue kubwa kivile kama wale walochinja watoto au kuchoma mwenzake kisa haya maujinga.
Ifike mahala tujue makosa makubwa zaid ya mengne kwa adhabu.
Hiv yule alomchoma mme wake ndan had akafa we waonaje?.isiwe kisa umeona wahun wakipeleka moto ukafa ganziii.

Siungi mkono walichofanya ila sipendi tuwe kihisia zaid katika makosa haya ya jinai maana kunapoteza uhalisia. Pia tukumbuke kuna watoto wanalawitiwa na kuharibika kabisaaa tofaut na huyo mtu mzima ambaye aliyatafuta. Ila mtoto alolawitiwa anakosa ganiii?
Unajuaje kama hao hawalawiti watoto? Mtu kama yule anaweza fanya chochote . Kwa hiyo wanstahili adhabu kubwa tu.
 
Unafuuu gani, wote wanakula kifungo cha maisha. Siku hizi watu hata hawanyongwi ni hukumu tu na hakuna utelelezaji. Wote wanapitia maumivu yako palepale
.
Jidanganye mkuu kuwa watu hawanyongwiiii.
Watu tukiwa uraiani baadhi ya mambo ni yakufikirika.
Bora mtu upewe hukumu ya kifungo cha maisha maana unajua unaweza hata toka kwa msamaha wa raisi ila kunyongwa hadi kufa hapo hamna msamaha wa raisi wala nini.
 
Watoto wa uswahili YOMBO kuna siku wananijibu kuwa tumeanza michezo ya kupiga miguu yote tangu tukiwa darasa la PILI.

Niliwaambia hiyo ni hatari waksema nimesha -zeeka
 
Sasa pale walibakiza nini kama sio kuua. Unaichukulia lile jambo powa wewe.
Mkuu acha nisiseme mengi maana hapa ni mtandaoni ila yapo mabaya kuliko uliloona wewe ndo maana mm waona kama naona hili ni kosa baya ila kuna mabaya zaid ya haya.
Mfano yule mama ambaye watoto wake watano waliuwawa kwa sumu ile issue we waionaje?
 
Watoto wa uswahili YOMBO kuna siku wananijibu kuwa tumeanza michezo ya kupiga miguu yote tangu tukiwa darasa la PILI.

Niliwaambia hiyo ni hatari waksema nimesha -zeeka
Naenda kuwasalimia saiv wadogo zako mkuu
Screenshot_20240806_103724_Maps~2.jpg
 
Mkuu acha nisiseme mengi maana hapa ni mtandaoni ila yapo mabaya kuliko uliloona wewe ndo maana mm waona kama naona hili ni kosa baya ila kuna mabaya zaid ya haya.
Mfano yule mama ambaye watoto wake watano waliuwawa kwa sumu ile issue we waionaje?
Yote ni makosa ya jinai. Kila moja litachukuliwa kwa uzito wake. Haya yakiachwa ndio yanapelekea hayo mengine makubwa zaidi .
 
Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.

Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Kwenye mahusiano asilimia80ni kudanganya,alieolewa anadai hana mume ,alieoa hana mke!Timbwili likitokea ndio utata unapoanzia.
 
Ushauri kwa jf member wenzangu.
Usizini na mke wa mtu
Usizini na mme wa mtu
Usizini na mwanafunzi.

Ukifanya haya utajiepusha na hayo madhila ya kishamba.
 
Acha hisia mkuu. Hapo mie sioni kama ni issue kubwa kivile kama wale walochinja watoto au kuchoma mwenzake kisa haya maujinga.
Ifike mahala tujue makosa makubwa zaid ya mengne kwa adhabu.
Hiv yule alomchoma mme wake ndan had akafa we waonaje?.isiwe kisa umeona wahun wakipeleka moto ukafa ganziii.

Siungi mkono walichofanya ila sipendi tuwe kihisia zaid katika makosa haya ya jinai maana kunapoteza uhalisia. Pia tukumbuke kuna watoto wanalawitiwa na kuharibika kabisaaa tofaut na huyo mtu mzima ambaye aliyatafuta. Ila mtoto alolawitiwa anakosa ganiii?
Aliyatafuta!? Aliridhia!? Huyu kwani alikuwa na kosa Gani!?
 
Wapo wengi sana majeshini. Huwa nashangaa wabongo wanavyolisifia kupitiliza jeshi letu wakati limejaa vilaza idadi isiyohesabika. Wangekuwa hata mafundi seremala njaa kali sidhani kama wangefanya hivyo.

Kwa akili hizi ndio ukang'amue suala la life and death kwenye uwanja wa vita na ulimwengu huu wa teknolojia? Unadhani hao nguruwe wanajua hata UAV ni nini.
😄😄😄😄😄,kinachonisumbua akili mpaka sasa,ni huyu capt mzima kulizwa na mapenzi mpaka akili zikasimama.ingawa mahakamani anaweza wanawa hawa watoto vyema kabisa,kwamba nao wana akili,sikuwashinikiza kufanya waliyofanya.

Lakini pia huwa napenda kusema,utakuwa mpumbavu wa kiwango kikubwa kukubali kwamba taasisi zote nchini zina uvundo ila sio jeshi letu la ulinzi😄😄.
 
Inasikitisha sana kwa kweli.

Polisi nadhani wamepata ganzi kwasababu hao WAHUNI waliombaka Binti ni Kutoka JWTZ na muhusika aliyewatuma ni Captain wa JWTZ.

Tusipepese macho.
Fanya maarifa nione hiyo kideo tafadhali
 
Back
Top Bottom