kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Njoo hapa gereza la Isanga Dodoma au nenda Uyui tabora ukashuhidie watu wanavyoliwa vichwa.danganyweni tu huko mitaani. Hangaya mwenyewe toka aingie keshalamba wengi tu muone na ushungi wake ule umchukulie poa.Unafuuu gani, wote wanakula kifungo cha maisha. Siku hizi watu hata hawanyongwi ni hukumu tu na hakuna utelelezaji. Wote wanapitia maumivu yako palepale
.