🚮Acha hisia mkuu. Hapo mie sioni kama ni issue kubwa kivile kama wale walochinja watoto au kuchoma mwenzake kisa haya maujinga.
Ifike mahala tujue makosa makubwa zaid ya mengne kwa adhabu.
Hiv yule alomchoma mme wake ndan had akafa we waonaje?.isiwe kisa umeona wahun wakipeleka moto ukafa ganziii.
Siungi mkono walichofanya ila sipendi tuwe kihisia zaid katika makosa haya ya jinai maana kunapoteza uhalisia. Pia tukumbuke kuna watoto wanalawitiwa na kuharibika kabisaaa tofaut na huyo mtu mzima ambaye aliyatafuta. Ila mtoto alolawitiwa anakosa ganiii?
Hata mimi nimeona ni mkomavu na alifanya makosa kutembea na mume wa mtu lakini wale vijana na aliowatuma wamefanya Ushetani mkubwa ambao hautakiwi kuungwa mkono kama ambavyo wewe unafanyaMkomavu tu yule
Unajuaje kama hao hawalawiti watoto? Mtu kama yule anaweza fanya chochote . Kwa hiyo wanstahili adhabu kubwa tu.Acha hisia mkuu. Hapo mie sioni kama ni issue kubwa kivile kama wale walochinja watoto au kuchoma mwenzake kisa haya maujinga.
Ifike mahala tujue makosa makubwa zaid ya mengne kwa adhabu.
Hiv yule alomchoma mme wake ndan had akafa we waonaje?.isiwe kisa umeona wahun wakipeleka moto ukafa ganziii.
Siungi mkono walichofanya ila sipendi tuwe kihisia zaid katika makosa haya ya jinai maana kunapoteza uhalisia. Pia tukumbuke kuna watoto wanalawitiwa na kuharibika kabisaaa tofaut na huyo mtu mzima ambaye aliyatafuta. Ila mtoto alolawitiwa anakosa ganiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Poleeee bwasheeee!!!Ndio akili kama za mjeda. Unaishia lupango maisha yako yote. Kazi kweli.
Jidanganye mkuu kuwa watu hawanyongwiiii.Unafuuu gani, wote wanakula kifungo cha maisha. Siku hizi watu hata hawanyongwi ni hukumu tu na hakuna utelelezaji. Wote wanapitia maumivu yako palepale
.
Itakuwa imechanganywa sigara na bange!Na mmoja anavuta sijui ni bange Ile au sigara
Mkuu acha nisiseme mengi maana hapa ni mtandaoni ila yapo mabaya kuliko uliloona wewe ndo maana mm waona kama naona hili ni kosa baya ila kuna mabaya zaid ya haya.Sasa pale walibakiza nini kama sio kuua. Unaichukulia lile jambo powa wewe.
Naenda kuwasalimia saiv wadogo zako mkuuWatoto wa uswahili YOMBO kuna siku wananijibu kuwa tumeanza michezo ya kupiga miguu yote tangu tukiwa darasa la PILI.
Niliwaambia hiyo ni hatari waksema nimesha -zeeka
Yote ni makosa ya jinai. Kila moja litachukuliwa kwa uzito wake. Haya yakiachwa ndio yanapelekea hayo mengine makubwa zaidi .Mkuu acha nisiseme mengi maana hapa ni mtandaoni ila yapo mabaya kuliko uliloona wewe ndo maana mm waona kama naona hili ni kosa baya ila kuna mabaya zaid ya haya.
Mfano yule mama ambaye watoto wake watano waliuwawa kwa sumu ile issue we waionaje?
Labda music systemraraa reree wewwe Ni MTU wa system kila mtu anajua.
Waliohusika lini mtawakama hao wahuni watu wa mavi?
hata ukifika huko unahitaji connection, we soma maelezo ya watu tuOya.. sasa sina connection kabisa yaani..
Wana wanaangalia wenyewe tu.
Au nidiwnload telegram na TikTok ndiyo nione?
Kwenye mahusiano asilimia80ni kudanganya,alieolewa anadai hana mume ,alieoa hana mke!Timbwili likitokea ndio utata unapoanzia.Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.
Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Basi kitawalambaaa sanaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye mahusiano asilimia80ni kudanganya,alieolewa anadai hana mume ,alieoa hana mke!Timbwili likitokea ndio utata unapoanzia.
Limekugusa raraa reree!Labda music system
Aliyatafuta!? Aliridhia!? Huyu kwani alikuwa na kosa Gani!?Acha hisia mkuu. Hapo mie sioni kama ni issue kubwa kivile kama wale walochinja watoto au kuchoma mwenzake kisa haya maujinga.
Ifike mahala tujue makosa makubwa zaid ya mengne kwa adhabu.
Hiv yule alomchoma mme wake ndan had akafa we waonaje?.isiwe kisa umeona wahun wakipeleka moto ukafa ganziii.
Siungi mkono walichofanya ila sipendi tuwe kihisia zaid katika makosa haya ya jinai maana kunapoteza uhalisia. Pia tukumbuke kuna watoto wanalawitiwa na kuharibika kabisaaa tofaut na huyo mtu mzima ambaye aliyatafuta. Ila mtoto alolawitiwa anakosa ganiii?
😄😄😄😄😄,kinachonisumbua akili mpaka sasa,ni huyu capt mzima kulizwa na mapenzi mpaka akili zikasimama.ingawa mahakamani anaweza wanawa hawa watoto vyema kabisa,kwamba nao wana akili,sikuwashinikiza kufanya waliyofanya.Wapo wengi sana majeshini. Huwa nashangaa wabongo wanavyolisifia kupitiliza jeshi letu wakati limejaa vilaza idadi isiyohesabika. Wangekuwa hata mafundi seremala njaa kali sidhani kama wangefanya hivyo.
Kwa akili hizi ndio ukang'amue suala la life and death kwenye uwanja wa vita na ulimwengu huu wa teknolojia? Unadhani hao nguruwe wanajua hata UAV ni nini.
Fanya maarifa nione hiyo kideo tafadhaliInasikitisha sana kwa kweli.
Polisi nadhani wamepata ganzi kwasababu hao WAHUNI waliombaka Binti ni Kutoka JWTZ na muhusika aliyewatuma ni Captain wa JWTZ.
Tusipepese macho.
Afadhali hujataja single mothers.Ushauri kwa jf member wenzangu.
Usizini na mke wa mtu
Usizini na mme wa mtu
Usizini na mwanafunzi.
Ukifanya haya utajiepusha na hayo madhila ya kishamba.