Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Ndugu zangu salaam

Kutokea tukio la binti kufanyiwa ukatili wa kingono na njemba zaidi ya wanne kumekua na makatazo mbali mbali na amri za kutisha zakutokuisambaza video iliyorekodiwa ikionyesha wahusika waliotekeleza unyama huo huku tukifahamu kweli ni kinyume cha sheria kuendelea kusambaza

Pia vyombo mbali mbali vimeomba na kuombwa ushikikiano ili watu hao watiwe nguvuni .

Swali ni kwamba

1: Huku uraiani kuna wengine wanaoishi na ndugu jamaa na marafiki zao au walikua marafiki zao, watajuaje wahusika ni hawa ili wawachomeshe wakamatwe kama kuna katazo la kuendelea kuisamba hiyo video limetolewa na huku inafahamika kuendelea kuisambaza ni kinyume na sheria?

2: Tunajua walikuwa wanaenda kwenye nyumba za ibada, sehemu za huduma za kijamii, na kwenye mikusanyiko mbali mbali au sehemu za starehe, je, kama wametoa katazo ni vipi raia ambao hawajaona sura za wahusika wataweza vipi kushirikiana kutoa taarifa au kuwatia nguvuni kuwa wa husika ni hawa ili hali kunakatazo limetolewa la kutokuendelea kusambaza ile video ya unyama uliofanyika ambapo tunajua kuisambaza ni kinyume na sheria za mtandaoni?

Nb. Sipo hapa kuhalalisha hiyo video iendelee kusambazwa na ninapinga vikali maana ni kuvunja sheria kuendelea kuisambaza

Ila ...

Je, nini kifanyike ili sura za wahusika waliotenda kosa hilo zipatikane haraka na kuwekwa wazi ili kuwezesha kupatikana ushirikiano wa haraka kutoka kwa raia utakao wezesha hao jamaa watiwe nguvuni upesi na sheria ifate mkondo wake.
 
Jeshi la Polisi limesema limeona taarifa na clip kwenye mitandao ya Kijamii ya Mwanamke anayebakwa na Wanaume Watatu kwa wakati mmoja

Jeshi la Polisi limesema linafuatilia tukio hilo la kinyama na kuwataka Wananchi wenye taarifa za kufanikisha Watu hawa Kukamatwa mara Moja waziwasilishe polisi

Taarifa imetolewa na DCP Msiime
Msemaji wa Polisi

Pia soma

View attachment 3061184
 
Mkuu sorry umeandika kitu NON SENSE

Umeandika hoja tatu ili eti uoneshe ni sahihi Mamlaka kuruhusu hio Video ya uchi wa binadamu + udhalilishaji isambae.

Ni kwamba majeshi yote yameshindwa kuwaita nguvuni wahalifu sabab ya kutoruhusu Video

Hivi uko sawa kweli ??
 
I
Ndiyo ni ma PTE.. private

Kwani hakuna askari muhuni? Wapo.
Mtu kamaliza Level 3 mwaka huu means ni mpya bado kwenye game. Hata umoto moto wa kozi haujamuisha. Wenge la boss kampa kazi ndio maana wakakosa hata akili za kufikiria itakuwaje wakijulikana.

Mimi sijaona 😂😂
maybe sio mtoto. Au ni hao watoto wakubwa wa 2000s… katoto kamewapelekea moto 🤔🫢
Inasikitisha na kuogopesha at once,. Ila hao majamaa wachukuliwe hatua
 
Aingie kwenye hiyo akaunti ya twitter kama jamaa hajaifuta. Ila inakera na kutia hasira sana. Wale mbwa kama wangemfanyia vile binti yangu au ndugu yangu hakika wangelipa
Ni kuomba tu Mungu aisee,. Na kuwa makini na watoto wetu maana dunia ya saizi inatisha
 
Inasikitisha sana kwa kweli.

Polisi nadhani wamepata ganzi kwasababu hao WAHUNI waliombaka Binti ni Kutoka JWTZ na muhusika aliyewatuma ni Captain wa JWTZ.

Tusipepese macho.
Kwa askari alie kwenye jeshi tofauti na polisi ukifanya kosa la jinai ni lazima upelekwe mahakama ya kijeshi ufukuzwe kwanza kazi alafu ndo unakabidhiwa kwa polisi kuendelea na kesi ya jinai hivyo hivyo kwa polisi unafukuzwa kwanza kazi kwenye mahakama yao ya kijeshi alafu unaendelea na mashitaka yako kama muhalifu ambae jeshi limeshajitenga na wewe, kwahiyo jamaa kwa kinachoendelea hadi sasa kama kweli ni askari basi tayari wameshakamatwa zinaanza taratibu za awali za kufukuzwa kazi na zinazofata ni watuhumumiwa kukabidhiwa polisi na kufikishwa mahakamani.

Kila kitu kina taratibu zake hata wewe ukiua unazo haki zako kama mtuhumiwa ambazo utaratibu unatakiwa ufatwe usipofatwa utaratibu unaweza kwenda kushinda kesi kwa kujenga hoja kutokana na utaratibu kutokufatwa.
 
Lazima dada mwanajeshi akili ilimruka mume wake naona alipagawa Kwa binti ,, binti anaonekana Yuko [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kwenye 6x6 . Dada mwanajeshi akapandwa na kichaa cha ndoa......
Wale huwa hawatumii akili mara nyingi hutumia nguvu,nenda kambi hasa za jkt uone wanavyojidhalilisha kisa vimwanaume vyao.Kule wengi shule walifeli
 
Ndugu zangu salam

Kutokea tukio la binti kufanyiwa ukatili wa kingono na njemba zaidi ya wanne kumekua na makatazo mbali mbali na amri za kutisha zakutokuisambaza video iliyorekodiwa ikionyesha wahusika waliotekeleza unyama huo.

Vyombo mbali mbali vimeomba na kuombwa ushikikiano ili watu hao watiwe nguvuni .

Swali ni kwamba

1: Huku uraiani sisi wengine tunaoishi na ndugu jamaa na marafiki zaoau walikua marafiki zetu, tutajuaje wahusika ni hawa ili tuwachomeshe wakamatwe kama kuna katazo la kuendelea kuisamba hiyo video limetolewa?

2: Majeshi mengine na taasisi zingine za kiupelelezi zitajuaje kama wahusika ndo hawa ili baadhi ya askari watakao kutana nao katika mizunguko ya kimaisha wawatie nguvuni?

3: Tunajua walikua wanaenda kwenye nyumba za ibada, sehemu za huduma za kijamii, na kwenye mikusanyiko mbali mbali au sehemu za starehe, je, kama wametoa katazo ni vipi sisi raia / askari ambao hatujaona sura za wahusika tunaweza vipi kushirikiana kutoa taarifa au kuwatia nguvuni kuwa wa husika ni hawa ili hali kunakatazo limetolewa la kutokuendelea kusambaza ile video ya unyama uliofanyika?
Tuwakate DUDU kabla ya kukamatwa na Polisi wetu
 
Back
Top Bottom