Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Swali lako ni la kijinga sana , Muulize Mwakyembe akusimulie habari zangu , wewe kwangu ni sawa na dagaa mchele tu , huwa sijishughulishi na watu duni kama wewe , mimi napambana na akina KinanaSasa kwa shobo ulizonazo kwa chadema unadhani kuna mwanaume rijali anaweza kuwa hvy.?
Tumeshajipanga vyema....Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa
Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii
View attachment 2690293
My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari
Sawa mkuu wa kaziSwali lako ni la kijinga sana , Muulize Mwakyembe akusimulie habari zangu , wewe kwangu ni sawa na dagaa mchele tu , huwa sijishughulishi na watu duni kama wewe , mimi napambana na akina Kinana
Siwezi kushiriki maandamano ya ShetaniTumeshajipanga vyema....
Maandamano haya ni muhimu....
Taratibu zote za kiutekelezaji ziko tayari.....
Erthyrocyte karibu katika maandamano yetu ya kizalendo......
Nimeandaa "mafuta ya mgando" na chupa ya maziwa ili kupunguza "moshi" wa mabomu ya machozi....
Tunasubiri tamko la mwenyekiti wetu.....akituzuia tunarudi nyuma....
#NchiKwanza[emoji120]
#UwekezajiWaDPWorldNiMuhimu[emoji120]
Lini anawawaongoza BAVICHA ?!!!Mdude hatoomba kibali chochote kutoka popote
Usiondoke jf kwa taarifa zaidiLini anawawaongoza BAVICHA ?!!!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Siwezi kushiriki maandamano ya Shetani
nitajie andiko lolote la Mungu linalotuelekeza kushirikiana na shetani .[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Dadangu una tatizo kubwa mno...
Sijui ni "obsessive compulsive disorder"?!! [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Sawa mkuu wa kazi
Tii mamlaka za nchi kwa maana hutoka kwa BWANA KYALA [emoji120]nitajie andiko lolote la Mungu linalotuelekeza kushirikiana na shetani .
Kwamba mamlaka ya nchi ndio mwakilishi wa shetani kwenye vitabu vya Mungu ?Tii mamlaka za nchi kwa maana hutoka kwa BWANA KYALA [emoji120]
Shetani ni yule pinga pinga....mpingaji wa maslahi na manufaa mtambuka ya watu wa Mungu hapa duniani....Kwamba mamlaka ya nchi ndio mwakilishi wa shetani kwenye vitabu vya Mungu ?
HONGERA JESHI LETU PENDWA KWA KUSIMAMA KATIKATI BILA KUJALI HILI NILA CCM AU LA!,HIVYO HIVYO NA VYAMA VINGINE VIJIFUNZE UTII WA MAELEKEZO YATOLEWAYO NA MAMLAKA ZETU NCHINI.Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa
Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii
View attachment 2690293
My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari
Acheni siasa za kitoto maandamano yapo pale paleHONGERA JESHI LETU PENDWA KWA KUSIMAMA KATIKATI BILA KUJALI HILI NILA CCM AU LA!,HIVYO HIVYO NA VYAMA VINGINE VIJIFUNZE UTII WA MAELEKEZO YATOLEWAYO NA MAMLAKA ZETU NCHINI.
"KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI"
Halafu wewe utakuwa umejifungia chumbani kwa mbowe unaandamana nyuma ya keyboard.Mdude hatoomba kibali chochote kutoka popote
Watu wanaunga Mkono BANDARI kuuzwa kwanini muwazuie?.Polisi mlitakiwa muwasindikize kwa Brass Band yenuMaandamano wamezuiwa ccm lkn chadema mnateseka, chadema hamjawahi kumiliki akili