Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa

Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii

View attachment 2690293

My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari
Tumeshajipanga vyema....

Maandamano haya ni muhimu....

Taratibu zote za kiutekelezaji ziko tayari.....

Erthyrocyte karibu katika maandamano yetu ya kizalendo......

Nimeandaa "mafuta ya mgando" na chupa ya maziwa ili kupunguza "moshi" wa mabomu ya machozi....

Tunasubiri tamko la mwenyekiti wetu.....akituzuia tunarudi nyuma....

#NchiKwanza[emoji120]
#UwekezajiWaDPWorldNiMuhimu[emoji120]
 
Swali lako ni la kijinga sana , Muulize Mwakyembe akusimulie habari zangu , wewe kwangu ni sawa na dagaa mchele tu , huwa sijishughulishi na watu duni kama wewe , mimi napambana na akina Kinana
Sawa mkuu wa kazi
 
Tumeshajipanga vyema....

Maandamano haya ni muhimu....

Taratibu zote za kiutekelezaji ziko tayari.....

Erthyrocyte karibu katika maandamano yetu ya kizalendo......

Nimeandaa "mafuta ya mgando" na chupa ya maziwa ili kupunguza "moshi" wa mabomu ya machozi....

Tunasubiri tamko la mwenyekiti wetu.....akituzuia tunarudi nyuma....

#NchiKwanza[emoji120]
#UwekezajiWaDPWorldNiMuhimu[emoji120]
Siwezi kushiriki maandamano ya Shetani
 
Ila Mdude hana ukubwa huo,
Ila Police wamefanya vema kupiga maandamano ya ovyo ovyo hata kama ni ya CCM
Hana ukubwa huo lakini mnamwopa mpaka Sasa mmemficha ndani
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa

Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii

View attachment 2690293

My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari
HONGERA JESHI LETU PENDWA KWA KUSIMAMA KATIKATI BILA KUJALI HILI NILA CCM AU LA!,HIVYO HIVYO NA VYAMA VINGINE VIJIFUNZE UTII WA MAELEKEZO YATOLEWAYO NA MAMLAKA ZETU NCHINI.
"KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI"
 
HONGERA JESHI LETU PENDWA KWA KUSIMAMA KATIKATI BILA KUJALI HILI NILA CCM AU LA!,HIVYO HIVYO NA VYAMA VINGINE VIJIFUNZE UTII WA MAELEKEZO YATOLEWAYO NA MAMLAKA ZETU NCHINI.
"KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI"
Acheni siasa za kitoto maandamano yapo pale pale
 
Lazima tuandamane tukiimba "Mwarabu arudi kwao atuachie bandari yetu"
 
Back
Top Bottom