Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa

Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii

View attachment 2690293

My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
Jeshi letu linaongozwa na watu wenye upeo mdogo sana. Kwa kupanga hii mbinu chafu yenye lengo la kufanya kitendo kilicho kinyume cha katiba, kwa upeo wao mdogo walio nao, wanaona wametumia mbinu ya akili kubwa sana, kwa sababu ndipo upeo wao unapoishia.

Polisi na huyo mwenyekiti wa UVCCM, watambue kuwa wananchi wana akili zaidi yao maradufu, vimbinu vya kijinga kama hivyo havina msaada wowote.
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa

Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii

View attachment 2690293

My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
 
Mlezi wa UVCCM TAIFA ni Nani???

Katibu mkuu wa CCM TAIFA kuna mahali Hauko sawa , Wewe ni mlezi wa UVCCM , ulikuwa wapi hadi Wanatangaza maandamano haramu!!

Inakuaje Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hadi anatangaza maandamano nchi nzima alikuwa ameshauriwa na Nani???
 
Jeshi letu linaongozwa na watu wenye upeo mdogo sana. Kwa kupanga hii mbinu chafu yenye lengo la kufanya kitendo kilicho kinyume cha katiba, kwa upeo wao mdogo walio nao, wanaona wametumia mbinu ya akili kubwa sana, kwa sababu ndipo upeo wao unapoishia.

Polisi na huyo mwenyekiti wa UVCCM, watambue kuwa wananchi wana akili zaidi yao maradufu, vimbinu vya kijinga kama hivyo havina msaada wowote.
hawa jamaa wanatuona tuna akili kama za kuku
 
UVCCM NA POLISI HII WALIPANGA ILI KUONYESHA KUWA UVCCM WAMEZUILIWA MAANDAMANO BASI WENGINE WAJAO WATAZUILIWA, KITAELEWEKA SOON.

Maandamano yako pale pale trust me.
 
Polisi na UVCCM walipanga maandamano na UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike 18,07,2023 na baadaye Polisi watangaze maandamano yamefutwa ili kuhadaa UMMA WA WATANGANYIKA.
 
sijajua kama ana ufahamu wa chini au anajichetua tu
This rubbish is neither here nor there, absolute pitter patter.

Andika unachotaka kuandika, usisuesue kivivu.

Mimi naongelea haki za kikatiba za watu kuandamana, huo ufahamu wa chini, chini wapi?
 
CCM wanatumia mbinu nyingi sana sana Ili mkataba wa kihuni upate na ufanikiwe.

WATANGANYIKA TUSIKUBALI HATA KIDOGO
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa

Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii

View attachment 2690293

My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
Wamepreempt mapema mpango wa Mdude
 
Mlezi wa UVCCM TAIFA ni Nani???

Katibu mkuu wa CCM TAIFA kuna mahali Hauko sawa , Wewe ni mlezi wa UVCCM , ulikuwa wapi hadi Wanatangaza maandamano haramu!!

Inakuaje Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hadi anatangaza maandamano nchi nzima alikuwa ameshauriwa na Nani???
wanajua wanafanya nini ila ni mbinu ya kitoto
 
Hiri ri jamaa ririropiga marufuku rinataka kuja kuhararisha marufuku tutakapoomba yetu .yanajipigaje marufuku.
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na uvccm nchi mzima hayataruhusiwa

Wametoa sababu Kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii

View attachment 2690293

My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
Cz ya maridhiano inabid iwepo check and balance 🤣🤣🤣🤣!!
 
Halafu mkibanduliwa huko mnakuja kusema polisi wanawaonea, nyie chadema dawa yenu ni kuwafanya kama Roma alivofanywa (indoor)

Wewe ni moja ya walioteka Roma? Mambo aliyofanyiwa ndani uliyajuaje? Kama mwenyewe aliyasema means ni ya kawaida kufanyiwa victim.(kuteswa hadi kuvalishwa kanga kama MO).
 
Back
Top Bottom