Tony Cipriano JF-Expert Member Joined Nov 17, 2022 Posts 2,139 Reaction score 5,109 Nov 13, 2024 #201 Mashamba Makubwa Nalima said: Wamefikia hatua gani? Click to expand... Afisa habari wa ikulu Lucas Mwashambwa bado hajapata taarifa atujulishe?
Mashamba Makubwa Nalima said: Wamefikia hatua gani? Click to expand... Afisa habari wa ikulu Lucas Mwashambwa bado hajapata taarifa atujulishe?
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 28,722 Reaction score 20,610 Nov 13, 2024 Thread starter #202 Tony Cipriano said: Afisa habari wa ikulu Lucas Mwashambwa bado hajapata taarifa atujulishe? Click to expand... Kaeni kwa kutulia muwe na subira.
Tony Cipriano said: Afisa habari wa ikulu Lucas Mwashambwa bado hajapata taarifa atujulishe? Click to expand... Kaeni kwa kutulia muwe na subira.
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Nov 13, 2024 #203 Lucas Mwashambwa said: Ndugu zangu Watanzania, Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505 Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana Click to expand... Lucas Mwashambwa msemaji wa serikali awape taarifa na ushahidi, anawajua.
Lucas Mwashambwa said: Ndugu zangu Watanzania, Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505 Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana Click to expand... Lucas Mwashambwa msemaji wa serikali awape taarifa na ushahidi, anawajua.
jmushi1 Platinum Member Joined Nov 2, 2007 Posts 26,329 Reaction score 25,263 Nov 13, 2024 #204 FaizaFoxy said: kwani yeye ndio wa kwanza humu kuweka taarifa? Wote wanaoleta taarifa ni wenezi wa watoa taarifa hizo? Au imewaminya pabaya taarifa ya polisi? Sasa nakutaarufu kuwa leo saa nne kamili asubuhi hii, msemaji wa polisi atakuwa mubashara. Click to expand... Alikuwa mubashara?
FaizaFoxy said: kwani yeye ndio wa kwanza humu kuweka taarifa? Wote wanaoleta taarifa ni wenezi wa watoa taarifa hizo? Au imewaminya pabaya taarifa ya polisi? Sasa nakutaarufu kuwa leo saa nne kamili asubuhi hii, msemaji wa polisi atakuwa mubashara. Click to expand... Alikuwa mubashara?
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Nov 14, 2024 #205 jmushi1 said: Alikuwa mubashara? Click to expand... Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Nov 14, 2024 #206 Lucas, Mungu wa kisasi yupo, wanayotenda hawa watu wa "kile chama" ipo siku Mungu wa mbinguni atajibu. Kumbuka Jehenam inaanzia hapahapa duniani na ubaya utalipwa hapahapa!
Lucas, Mungu wa kisasi yupo, wanayotenda hawa watu wa "kile chama" ipo siku Mungu wa mbinguni atajibu. Kumbuka Jehenam inaanzia hapahapa duniani na ubaya utalipwa hapahapa!
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 22, 2025 #207 This is... said: Tatizo aliyeuawa siyo ndugu yako ,baba au babu yako. Ndiyo maana unaleta mzaha kwa mambo ya uhai wa watu. Click to expand...
This is... said: Tatizo aliyeuawa siyo ndugu yako ,baba au babu yako. Ndiyo maana unaleta mzaha kwa mambo ya uhai wa watu. Click to expand...