Hekima ya Mungu ni kwamba kila mtu atakufaMimi nimeweka taarifa ya jeshi la polisi. nimefanya kosa lipi kuweka taarifa hiyo? Au ni wapi nimeongeza maneno yangu? Au unachuki zako binafsi tu?
Umenena ukweli kabisa na sina cha kuongeza.R.I.P muungwana Ally Kibao..
ni jambo la maana zaidi ikiwa kuna yeyote alie na taarifa sahihi za kuaminika juu ya tukio hili la kinyama dhidi ya utu wa mwanadamu, kuziwasilisha kwa vyombo vya kiuchunguzi ili hatimae hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya wahusika wa unyama huo, na haki stahiki itendeke kwa aliedhulumiwa, ikiwa kweli ipo huruma na uchungu wa dhati juu ya jambo hili baya na la aibu sana kwa Taifa..
kuficha ushahidi, kuficha ukweli au kusita kutoa ushirikiono wa taarifa sahihi za uhakika unazo zifahamu kuhusu uzandiki huu dhidi ya binadamu ni kudhulumu, ni kukandamiza haki na stahiki za almaruhum Ally Kibao, na hakika utaulizwa siki ya mwisho mbele za haki..
Once again R.I.P kamanda Ally Kibao 🤭
Ukitulia utaona busara ya ushauri uliopewa Brother.Just calm downMimi nimeweka taarifa ya jeshi la polisi. nimefanya kosa lipi kuweka taarifa hiyo? Au ni wapi nimeongeza maneno yangu? Au unachuki zako binafsi tu?
Ni kweli katendewa unyama usiokubalikaMzee huyu ametendewa unyama wahalifu watafutwe
Siwezi nikafurahia kifo cha mwanadamu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu.hata mwenye makosa hastahili kuuwawa kinyama pasipo kufikishwa katika vyombo vya kisheria kama vile mahakamaWauaji wakubwa nyie. Hapo umefurah sana na starehe unafanya. CCM ni mashetani wakubwa.
Luckas ni kweli humu ndanj hatujuani lakini kuna wakati utu na ubinadamu ukujie haya mambo hayakuanza leo unaonekana kama umefanya dhihaka tunapotaniana kucheka na kukosoana ila kwa hili umenikwaza sana
Kwanini kila mtu unamwita dada yako.kwani wewe huwa huna akili hata ya kutofautisha jinsia.Dada angu nakuheshimu naomba ukalale
Naomba Nisamehe kama nimekukwaza ndugu yangu lakini mimi nilikuwa nimeleta tu taarifaLuckas ni kweli humu ndanj hatujuani lakini kuna wakati utu na ubinadamu ukujie haya mambo hayakuanza leo unaonekana kama umefanya dhihaka tunapotaniana kucheka na kukosoana ila kwa hili umenikwaza sana
Wanasikitishwa na mambo wanayoyafanya wenyewe!
Yule trafic polisi aliyekuwa kwenye Hilo bus atawapa habari zote muhimu
Sema ndugu zangu CCM mnachofanya sio SAWA kabisa , hii nchi imewashinda?
Ndio maana sipendi siasa Kwa sababu kumejaa wajinga,, wazandik na watu wasio na utu,, wanachojalu ni maslahi yao tu,, imagine mtu anauliwa afu mwingine anashingilia kisa sio Chama chakeNaomba Nisamehe kama nimekukwaza ndugu yangu lakini mimi nilikuwa nimeleta tu taarifa
Staying silent is not foolish, Brother. I repeat again, take the advice that was given earlier by Dr. Mambo, comrade.Naomba Nisamehe kama nimekukwaza ndugu yangu lakini mimi nilikuwa nimeleta tu taarifa
Makada wanajiamini sana huku mtaani. Takribani kila kada anajisi ni wenye hati mmiliki na uhuru juu ya kila kitu - hata uhai wa wale wenye tofauti kimtizamo.Luckas ni kweli humu ndanj hatujuani lakini kuna wakati utu na ubinadamu ukujie haya mambo hayakuanza leo unaonekana kama umefanya dhihaka tunapotaniana kucheka na kukosoana ila kwa hili umenikwaza sana