Neno hili inatokana na senator wa mmarekani U.S. Sen. Joseph McCarthy aliyejipambanua kuupinga Ukomunist ndani ya USA kwa kutumia mbinu za kuwachafua wenzake kwa kigezo cha kuupinga Ukomunist ambao ilikuwa sumu kwa Wamarekani. Akijua kuwa wamarekani hawapendi Ukomunist, basi alitumia ukomunist kuwabambikia maasimu wake wa kisiasa kuwa ndio vinara wa Ukomunist na hivyo kuchukiwa na waamaerika wenzake.
MAKONDA SASA; Anatumia njia hiyo hiyo kuwachafua wenzake ikiwa ni njia ya kujipendekeza kwa Mteule wake samia ili ajipatie uhalali wa kisiasa mbele ya watanzania.
1. Aliwachafua akina Mbowe kuwa wanauza madwa ya kulevya ili magufuli ampende zaidi
2. Aliwacxhafua akina Lowasa kuwa wametelekeza watoto na kuigiza wanawake waliojitokeza kudai kuwa Lowasa ni baba yao
3. Juzi amewalenga wanasiasa wenzake ndani ya CCM especialy mawaziri eti wanamtukana Samia mitandaoni
4. Kuingilia mamlaka ya mahakama eti kutatua migogogoro ya ardhi
5. etc etc ...ongezea
Hiyo ndiyo inaitwa polics of MacCathyism
msikilize SK media akifafanua politics of maccathyism dakika ya 3 na kuendelea
full video
View: https://youtu.be/K-qL8ZFGAr8
MAKONDA SASA; Anatumia njia hiyo hiyo kuwachafua wenzake ikiwa ni njia ya kujipendekeza kwa Mteule wake samia ili ajipatie uhalali wa kisiasa mbele ya watanzania.
1. Aliwachafua akina Mbowe kuwa wanauza madwa ya kulevya ili magufuli ampende zaidi
2. Aliwacxhafua akina Lowasa kuwa wametelekeza watoto na kuigiza wanawake waliojitokeza kudai kuwa Lowasa ni baba yao
3. Juzi amewalenga wanasiasa wenzake ndani ya CCM especialy mawaziri eti wanamtukana Samia mitandaoni
4. Kuingilia mamlaka ya mahakama eti kutatua migogogoro ya ardhi
5. etc etc ...ongezea
Hiyo ndiyo inaitwa polics of MacCathyism
msikilize SK media akifafanua politics of maccathyism dakika ya 3 na kuendelea
full video
View: https://youtu.be/K-qL8ZFGAr8