Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
TeteteteteteteteSasa ndio ujue kuwa Libya ilikuwa zaidi ya Iyo US
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TeteteteteteteteSasa ndio ujue kuwa Libya ilikuwa zaidi ya Iyo US
Nadhani kitendo cha kuwatanbua makaburu ndio chanzo cha kuwa maarufu duniani. Nadhani kabla alikua gaidi kwa mujibu wa USA.Ninachojua Mandela kavuma sana kuliko hata wapigania uhuru wenzie, kisa tu ktk kutoka jela yee ndio wa mwisho! Na wapo waliokufa uwanja wa vita pia. Akina Solomon Mahlangu, Walter Sisulu, OR TAMBO et al.
..Gadaffi huyu aliyeua askari wetu wakati wa vita vya Uganda?!
..vijana wa siku hizi hebu someni kidogo.
..manaake mnaaibisha kwa kuanzisha thread kama hizi.
.sifa kubwa ya madiba ni kukaa gerezani muda mrefu na kuwasamehe wazungu
Sikuzungumzia msaada wa kijeshi. Halikuwa lengo la mwalimu kupigana vita, ndo maana akaomba nchi za OAU zikemee uvamizi wa Idd Amini, hakuna nchi ilikemea. Hiyo ilikuwa kabla Nyerere hajaamua kupeleka nchi vitani.Mkuu OAU kwani msumbiji na angola hawakuwepo? Nachojua mimi tz ilipata majeshi kibao hizo nchi.
Okay.Sikuzungumzia msaada wa kijeshi. Halikuwa lengo la mwalimu kupigana vita, ndo maana akaomba nchi za OAU zikemee uvamizi wa Idd Amini, hakuna nchi ilikemea. Hiyo ilikuwa kabla Nyerere hajaamua kupeleka nchi vitani.
Mkuu ilikua lazima afanye hivo ili wengi wapate. Unajua western wanatumia njia nying hasa upande za upinzani kuiangusha seikali?Mandela ni zaidi.... Gaddafi tofauti kabisa na watu wanavyofahamu alikuwa mkandamizaji mzuri WA Demokrasia nchini Libya.
Wabongo hawajui western ni nan badoNadhani kitendo cha kuwatanbua makaburu ndio chanzo cha kuwa maarufu duniani. Nadhani kabla alikua gaidi kwa mujibu wa USA.
West wakiamua kukupandisha au kukushusha ni mara moja tu
SidhaniMkuu ilikua lazima afanye hivo ili wengi wapate. Unajua western wanatumia njia nying hasa upande za upinzani kuiangusha seikali?
Vibaraka wengi wanatokea upande wa upinzani mkuu.Sidhani
Kajenga msikiti Dodoma...karibu Tanzania, nchi yenye wananchi wanaoamini kuwa Gadaffi alikuwa anagawa $50,000 kwa kila mtu aliyekubali kuoa kwa kuwa tu wanawake wa huko wana miibaghadaf kafny nn mpk afananishwe na madiba?