Pombe gani hazikupi hangover at the same time zinakupa appetite ya kula?

S
Okay nilishakunywa nikiwa marangu, ila ni kama kinywaji cha burudani tu sikuhisi chochote hata.
Siku hz mbege wanatengeneza kama juice ili mradi ujaze tumbo.hawataki kutumia huo msesewe wazee wetu wazamani ndio walikuwa wanatengeneza og ila ukienda kama mwika na sehemu moja hv wanaita msae au nganyeni utakutana na mbege ya msesewe og.ila hapo marangu wanaweka sana maji ndo mana vjana wa siku hz wamekuwa walevi wa banana na pombe za spiriti high life zinawamaliza
 
Hapana boss
Yani zinakufanya kama hujanywa kitu.... Like maji tu.
Waeza kunywa weeee Ila utashangaa myumbo tu na maneno kuongezekaa unalala kama mtoto then ukiamka uko so fine and fresh
Hizo pombe unakunywa kifuniko umelewa ndio zinawaua Bodaboda na wajinga wengineπŸ˜€ kuna mmoja nimepishana nae nikaona usoni ana ngeu.. nikajiongeza tu ni kisungura hicho kimekubali..
 
Watu wa Shinyanga bana ... Lengo lako ni kuipromoti Hanson's Choice πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.... Cheki na Glad pale kiwandani Shinyanga... Akuongeze mshahara umeweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…