nafurahi kukutana na watu wanaojua ukubwa wa tatizo hili na ukweli utabaki palepale. Walevi ni wapenda sifa na hata wakiwa na maumivu sio rahisi kuwajua maana hupenda kuonekana wako vizuriUmeongea ukweli bro..wengi ambao tupo addicted na alcohol tunakua very depressed and tunakosa perfect person wakuwaelezea what we are passing through...so it's kill slowly
Sijakataa watu wa design yako kama wapo? Ila elewa na wa design hii wapo pia tena wengi. Huwa tuna hesabu na maamuzi mazuri kabla ya kulewa lakini tukishakuwa tumelewa maamuzi hayo huyeyuka. Unaweza usikope lakini ukatumia zaidi ya ulichokuwa umepanga yote ni ufujaji wa pesaYaani nikope pesa kwa ajili ya pombe? Aisee mimi ni mlevi lakini siwezi kuingia madeni sababu niendelee kulewa, Nilijifunza kwenda bar na kiasi fulani cha pesa, kikiisha ni nduki home hata kama nina access ya kukopa labda kama kutakuwa na washkaji ambao watalendeleza libeneke.
Nilipokuwa mlevi nilipokutana na watu wanaoiponda pombe nilikuwa nawaona kama wachawi na nilikuwa naitetea kwa namna yeyote ile ili ionekane hakuna shida kulewa lakini kwa sasa huwezi kunidanganya ndugu hayo maneno ya shombo hata mimi nilishaambia sana watu. Tuache tu sababu hatujuani lakini kwenye pombe sikuwa boya kama unavyodhaniWewe ulikuwa mnywaji uchwara. Wanywaji uchwara wengi hujilaumu asubuhi baada ya pombe kuwapeleka puta jana yake. Yani wengi wanafanya mambo ya kitoto kitoto na hao ni bora wakae mbali na pombe. Wakinywa wanaweza hata kupumuliwa kisogoni au kutongoza mama mkwe!
Maamuzi mazuri sana kila la heri ufanikishe ila pombe ni jini na binadamu wa kawaida kushindana na nguvu za giza yahitaji commitment ya hali ya juu na kumshirikisha mungu.Si muda mrefu sana ni miezi mitano tu sasa tangu niache naimani sitarudi tena
Nashukuru sana mkuu, kweli wanawake wanaoishi na walevi wanavumilia mengi sana hata wale wanaojiita walevi wastaarabu nao ni shida tupu nimekaa nao mimi unaweza kumuona mstaarabu sana kumbe kuna mambo ya kishenzi anayafanya gizaniMaamuzi mazuri sana kila la heri ufanikishe ila pombe ni jini na binadamu wa kawaida kushindana na nguvu za giza yahitaji commitment ya hali ya juu na kumshirikisha mungu.
Mwanamke anayeweza kuishi na mlevi huyo ni super woman BabaMorgan ningekuwa nina uwezo ningeandaa kongamano la kuwapongeza wanawake wanaoishi na walevi na kuwapa zawadi.
🤣 🤣 🤣 Alafu kuna mtu anashangaa kusikia umemaliza 300k kwenye pombe.Kama ni Mdau Kikosi cha kwanza ukiingia Picnic unaanza kugombaniwa na mademu kabla hujakaa 80000 imeshakatika....
300000 unaweza KUSTABULAIZI mikikimikiki
Arusha Dolali zinatupa KIBULI
Ninatumia ila point ya jamaa ya kushindwa kuhimili ki akiba inanitesa hadi leo , Nina siku nne za kujitathimini toka Ijumaa sasa sijajua nitafaulu au lah manake nina 15k gheto ngoja nijae visenti nione[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Alafu kuna mtu anashangaa kusikia umemaliza 300k kwenye pombe.
Mimi ndio maana baa huwa naenda kama mchawi huwa sipendi kampani za kidwanzi unawanywesha watu kwa pesa yako ila wao hawazungushi raundiNatamani kuacha kabisa ila huwa najikita nimepumzika tu
Kuna kipindi nilijifanyia tathimini nikagundua pombe ya wengi inatia hasara
Kama ni Mdau Kikosi cha kwanza ukiingia Picnic unaanza kugombaniwa na mademu kabla hujakaa 80000 imeshakatika....
300000 unaweza KUSTABULAIZI mikikimikiki
Arusha Dolali zinatupa KIBULI
nafurahi sana kukutana na watu wanaojua ukweli wa tatizo hili, kuna walevi uchwara wanajifanya kunishangaa na kujiona wao wameiweza pombeMzee hapo ni kuoambana kweli kweli kuacha hiyo kitu, uraibu wowote unaumiza, nawajua walevi sababu nimeishia nao, wanangu tulikuwa tunakula bata wote ni walevi mbwa kasoro mimi na huwa namshukuru mungu katika hili, uraibu wangu ulikuwa kwenye kubeti na wanawake, aisee nilikiwa kitoombi, ika wanawake hawakuwa wanaharibu bajeti zangu kama kamari, aisee kamari niliivulia kofia, ila nilifanikiwa kuacha baada ya jaribio la kwanza kufeli.. La pili likatiki, mambo yasiwe mengi nikaoa kabisa, jumlisha kusali sali sasa hivi mwaka wa 3 huu sijacheza kamari, na toka nimeoa mpaka sasa sijapiga mechi za nje(japo hili suala kiukweli najikaza saana, bado napambana[emoji1787][emoji1787]) ila kamari nimeiweza 100%
Mbn sijaona pombe apoHuwa mnanishangaza sana mnasimuliwa vijiweni mnaamini ila sisi tukiwaambia tumefundishwa na viongozi wa dini hamtuamini.
"O you who have believed, indeed, intoxicants (khamr), gambling, [sacrificing on] stone altars [to other than God], and divining arrows are but defilement from the work of Satan, so avoid it that you may be successful".
— Qur'an 5:90
Sijaona pombeHujaona pombe au hujaelewa tafsiri 🤣
Huwa sipendi kubishana mambo ya dini lakini ngoja nikueleweshe.Sijaona pombe
Unaweza kuweka tafsir ya hiyo Aya hapa?Huwa sipendi kubishana mambo ya dini lakini ngoja nikueleweshe.
Neno intoxicants kutoka tafsiri ya kiingereza lina maana hii: Any substance that is known to have or does have intoxicating effects, and includes alcohol, marijuana, or any other controlled substances.
Lakini neno hilo kwenye aya hiyo ya Qur'an limetumika kama tafsiri ya neno la kiarabu Khamr ambalo kwa tafsiri rahisi ni kilevi
(wakati mwingine uwe hata una google basi)
Sijasema Khamr maana yake ni pombe bali ni kilevi yani mjumuisho wa vyote vinavyolewesha ikiwemo madawa ya kulevya.Unaweza kuweka tafsir ya hiyo Aya hapa?
Maana khamr sio alcohol