Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Basi mimi nipo tofauti sana na members wengi

Kwa upande wangu, kinachonipa furaha na amani ya nafsi (starehe) ni kuona napiga hatua kibiashara na KUTUNZA PESA.

Yaani nipo tayari nisisex for several months ili tu nipunguze gharama ya matumizi yangu. Inatokea sana mara kwa mara unakuta NIMEUZA 200+k lakini nakula milo 2 tu, eidha chai ya 700 na chakula cha mchana 1000, usiku napiga dash.

Hata leo nimepiga dash moja takatifu sana
 
Unakutana na mtu anakuuliza, unakunywa pombe? Unavuta sigara nk ukimjibu hapana situmii vyote anakwambia lazima starehe yako itakuwa kusex.

Je kuna ukweli wowote katika hili?

We starehe U Hobby yako ni ipi? Tiririka, ikifanana na ya mwenzio ruksa kufahamiana zaidi

Binafsi napenda- Kusikiliza muziki laini.
- Kufanya mazoezi
- Kuangalia Movie
- Kuchart na marafiki,
- Pia napenda sana kusafiri sehemu mbalimbali.
karume tunabishana Simba na yanga asubuh mpaka asubuh ndio zetu na kashata, kahawa na kachori ndio ulevi wetu
 
Back
Top Bottom