Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,143
Hahah usinielewe vibaya mchumba[emoji3] sijamaanisha hivyo unavyo nifikilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nihakikishie kwanza ndio wewe alshabab au sio wewe😁😁😁😁🤣🤣🤣 Hebu tutete alisemaje?
Sa itakuwaje??
#With mary jane, the Love never dies [emoji256]
#ingiamo tu.. you will be the happiest BF ever
[emoji23][emoji23][emoji23]
bado hujasema😂Hahah usinielewe vibaya mchumba[emoji3] sijamaanisha hivyo unavyo nifikilia
bado hujasema[emoji23]
Hata mimi sina uhakika ☹️😂Nihakikishie kwanza ndio wewe alshabab au sio wewe😁😁😁😁
Hongera kumbadilisha team,from tukunyemaz to models😁😁😁Hata mimi sina uhakika ☹️😂
Kama nakuona kwenye yemen mandi pale kati au paparotilabda kweli,, yani mimi kila restaurant au cafeteria itakayofunguliwa mjini lazima niende nikale nipate taste ya vyakula vyake..huko ndo ninakomalizaga hela nyingi sana.. Na sijutii😃😃🤣🙈
unatumia language ipi html python c++-Napenda kucheki muvi
- Napenda kucode
- Bila kusahau kutia nyeto
sinywi, sivuti, si-club, situmii KE
Ni nin maana starehe?Mfumo wetu wa elimu unahitaji maboresho makubwa sana. Vijana wetu hawajui kabisa starehe ni nini??
Mpaka nimecheka kwa sauti!bada ya majukumu starehe yangu kubwa ni kuwashambulia chadema iwe kwa namna yoyote
Inaelekea wewe mpenzi wa kitimotooNikianza na nyama
Nikimalizia na vyakula vyote vitamu vinavyohusishwa na nyama😋
😬 😬 😂 😂 ningekualika kwenye harusi HamisiWe baba weeh.
Si umeoa juzi tu hapo.
micro-python na Luaunatumia language ipi html python c++
karume tunabishana Simba na yanga asubuh mpaka asubuh ndio zetu na kashata, kahawa na kachori ndio ulevi wetuUnakutana na mtu anakuuliza, unakunywa pombe? Unavuta sigara nk ukimjibu hapana situmii vyote anakwambia lazima starehe yako itakuwa kusex.
Je kuna ukweli wowote katika hili?
We starehe U Hobby yako ni ipi? Tiririka, ikifanana na ya mwenzio ruksa kufahamiana zaidi
Binafsi napenda- Kusikiliza muziki laini.
- Kufanya mazoezi
- Kuangalia Movie
- Kuchart na marafiki,
- Pia napenda sana kusafiri sehemu mbalimbali.
Aisee inabidi nikachukue short course ya kiswahili pale Baraza la Kiswahili ASAP.Mpaka hapo unakosa point
Bac instead of basi😂