Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Ndo mana mi nimehamia huku

Hamna usodoma na ugomora humu

Unatazamana adi na watoto wako na wazazi pia

Na bado zitakufurahisha vibaya mno

Nimezicheki adi nimejikuta nimekua mpenzi wa kula kama wao yale mavyakula yao🤣🤣🤣
 
Ndo mana mi nimehamia huku
Hamna usodoma na ugomora humu
Unatazamana adi na watoto wako na wazazi pia
Na bado zitakufurahisha vibaya mno
Nimezicheki adi nimejikuta nimekua mpenzi wa kula kama wao yale mavyakula yao🤣🤣🤣
Ah mi naonaga mara nyingi ni tambi mkuu

Usinambie una chopsticks kwenye kabati 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…