Pombe yaua Mhudumu wa Baa aliyekunywa bila kula

Pombe yaua Mhudumu wa Baa aliyekunywa bila kula

Huyo hakula na wala hakunywa maji, kilichompata ni kukaukiwa maji mwilini(dehydration).
Hakula kwasababu yakukosa pesa.

Tanzania watu wengi wanashinda njaa.

Hata wewe inawezekana ukipiga viroba kadhaa chalii.

Serikali ione umuhimu wakuboresha elimu lakini pia ubunifu katika ajira vijana wapate nafasi zakutengeneza pesa zakueleweka wasife njaa kama huyo dada.

Huyo ni mmoja ila wengi tu wanaenda kwa namna hiyo si vijana wanaume si wanawake.

Hasahasa hapo mjini Dar.
 
Zambo alisema kuwa tukio hilo lilitokea Aprili 8, mwaka huu majira ya alfajiri nyuma ya baa kwenye migomba jirani na alipokuwa akifanyia kazi.

"Nilipigiwa simu kuwa kuna mwili wa mtu aliyekufa ilibidi niende na nilipofika niliambiwa mwili umechukuliwa na polisi kupelekwa Tumbi ambapo alikuwa hajafa na alifia njiani," alisema.
Kiswahili bado ni janga letu
 
"Alichunguzwa lakini hakukutwa na jeraha lolote wala kuumia popote, hali ambayo inaonesha kuwa inawezekana pombe ndiyo ilisababisha kifo hicho," alisema Zambo.

Come doctors, come on Tanzania , what a poor PM ?
 
"Alichunguzwa lakini hakukutwa na jeraha lolote wala kuumia popote, hali ambayo inaonesha kuwa inawezekana pombe ndiyo ilisababisha kifo hicho," alisema Zambo.

Come doctors, come on Tanzania , what a poor PM ?
🤣🤣🤣 Amesema hayo zambo ambaye ni mzee wa kitongoji🤣🤣🤣hatari sana 😅 sisi
 
Kwani hizo bia alizokunywa ni bure?
Huyo dada umasikini uliteka akili yake na kusababisha msongo wa mawazo.

Akaona bora atumie elfu moja anunue pombe apunguze mawazo yanayomwandama.

Usichukulie poa.

Kumbuka mtu masikini na mwenye msongo mkali wa mawazo wakukosa pesa lazima aangukie kwenye janga la ulevi au madawa ya kulevya.
 
Huyo hakula na wala hakunywa maji, kilichompata ni kukaukiwa maji mwilini(dehydration).
Watz kwa uongo na upotoshaji hamjambo. Amepata hypoglycaemia kwa sababu ya sukari kushuka mwilini kwa sababu ya njaa plus pombe kali na sio dehydration. Nyie ndio unakuta mnatibu huko mitaani na kuua watu Figo na maini
 
Back
Top Bottom