Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Napokea rambirambi[emoji1545]Mshana pole kwa msiba wa pisi kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napokea rambirambi[emoji1545]Mshana pole kwa msiba wa pisi kali
Njoo geti la Msangani hapaNapokea rambirambi[emoji1545]
Niko hapa KibondeniNjoo geti la Msangani hapa
Hata kwa wazinzi ni dawa tosha asee maji hupungua sana mwilini
mtu kudevelop dehydration it takes some time na haiwezi kuwa immediate cause of death kwa mlevi. Mtu aliyezidiwa kwa ulevi mpe kwanza Fanta orange au mwekee asali chini ya ulimi km hajitambui km huduma ya kwanza kwa sababu sukari kushuka ( hypoglycaemia)ndio kutamuua haraka na sio dehydrationUnywaji wa pombe unakausha maji mwilini sababu pombe ni diuretic, over some time mtu anapoteza fluids na electrolytes muhimu mwilini. Japo, kwa case yake ni wazi ni hypoglycaemia.
Kuna siku niligida konyagi za kutosha, usiku nikapata kiu moja kali sana hadi natetemeka manake jana yake sikula vitu vya kueleweka.kama ni konyagi ukinywa usiku unasikia kiu moja kali sana ambayo inahitaji maji ya baridi sana
Kuna siku niko Ilula navizia bus la kuja Dar, Sasa nikaona wakati nasubiri nikinywa bia itanisumbua kukojoa Mara kwa mara, nikaoona ninywe Konyagi. Baada ya kumaliza mzaramo nikaona si vibaya kuagiza ya pili. Nilipoimaliza Tunyande ikawa limefika. Nikaingia safari ikaanza kipindi kile magari yanatembea usiku. Ile tunamaliza kitonga nikashikwa na usingizi. Enzi zile hakuna maji ya chips yanayouzwa. Maji Ni bombani, kisimani au mtoni full stop. Tuko katikati ya mbuga usingizi ukakata, nilikua na kiu ya kufa mtu na kichwa kinauma sio kawaida. Mida hiyo Ni nane usiku, Tunyande inakata mawimbi lakini naliona Kama limesimama. Nilikaa na Ile kiu mdomoni hakuna hata tone la mate mpaka Tunyande inaingia mnazi mmoja kumi na mbili alfajiri.kama ni konyagi ukinywa usiku unasikia kiu moja kali sana ambayo inahitaji maji ya baridi sana
Wewe ni Daktari au kanjanja? Hebu niletee case ya mgonjwa hata mmoja duniani aliyewahi kufa kwa dehydration sababu ya kunywa pombe nyingiPombe inamaliza sana maji mwilini.
100% dehydration imemuua.
😂😂😂😂😂😂 Ulijifunza the hard way 😁Ku
Kuna siku niko Ilula navizia bus la kuja Dar, Sasa nikaona wakati nasubiri nikinywa bia itanisumbua kukojoa Mara kwa mara, nikaoona ninywe Konyagi. Baada ya kumaliza mzaramo nikaona si vibaya kuagiza ya pili. Nilipoimaliza Tunyande ikawa limefika. Nikaingia safari ikaanza kipindi kile magari yanatembea usiku. Ile tunamaliza kitonga nikashikwa na usingizi. Enzi zile hakuna maji ya chips yanayouzwa. Maji Ni bombani, kisimani au mtoni full stop. Tuko katikati ya mbuga usingizi ukakata, nilikua na kiu ya kufa mtu na kichwa kinauma sio kawaida. Mida hiyo Ni nane usiku, Tunyande inakata mawimbi lakini naliona Kama limesimama. Nilikaa na Ile kiu mdomoni hakuna hata tone la mate mpaka Tunyande inaingia mnazi mmoja kumi na mbili alfajiri.
Mimi ni kanjanja Dr wa heshima nimeimunua kwa dola 2500 mkuuWewe ni Daktari au kanjanja? Hebu niletee case ya mgonjwa hata mmoja duniani aliye wapi kufa kwa dehydration sababu ya kunywa pombe nyingi
Hahahah pole sana Mkuu,unatamani usingizi ukipitie tena. Ukinunua konyagi hakikisha unatembea na majiKu
Kuna siku niko Ilula navizia bus la kuja Dar, Sasa nikaona wakati nasubiri nikinywa bia itanisumbua kukojoa Mara kwa mara, nikaoona ninywe Konyagi. Baada ya kumaliza mzaramo nikaona si vibaya kuagiza ya pili. Nilipoimaliza Tunyande ikawa limefika. Nikaingia safari ikaanza kipindi kile magari yanatembea usiku. Ile tunamaliza kitonga nikashikwa na usingizi. Enzi zile hakuna maji ya chips yanayouzwa. Maji Ni bombani, kisimani au mtoni full stop. Tuko katikati ya mbuga usingizi ukakata, nilikua na kiu ya kufa mtu na kichwa kinauma sio kawaida. Mida hiyo Ni nane usiku, Tunyande inakata mawimbi lakini naliona Kama limesimama. Nilikaa na Ile kiu mdomoni hakuna hata tone la mate mpaka Tunyande inaingia mnazi mmoja kumi na mbili alfajiri.
ile kitu ni balaa ilishamipkausha usiku hadi nikawa nashindwa kumeza mate mdomo umekauka kabisa niliamka nikaende hadi stand kutafuta vijiwe vya kukesha ninywe majiKuna siku niligida konyagi za kutosha, usiku nikapata kiu moja kali sana hadi natetemeka manake jana yake sikula vitu vya kueleweka.
Ikabidi niende kumgingea mangi anipe maji na hapo ndio akiki ikakaa sawa nikaanza kutafuta vijiwe vya chips vya 24hrs.
Vip wanywaji wa pombe kali wanaochanganya na maji inasaidia au bora kupiga kavu kavu?Unywaji wa pombe unakausha maji mwilini sababu pombe ni diuretic, over some time mtu anapoteza fluids na electrolytes muhimu mwilini. Japo, kwa case yake ni wazi ni hypoglycaemia.
Haya ndo mambo ya kujadili sasa.Tutafute siku moja ya jumamosi tukutane NIDA kwenye mnada wa mbuzi au kwa Mbonde kwenye mkuu wa meza.
Inawezekana,kwasababu bia kama bia ni chakula tosha. Nikiwa na njaa,nikipiga bia mbili njaa inaisha kabisa nasahau kula chakula.Itakua gongo nini?
Kuna tiba na kuna huduma ya kwanza, tiba inamuhusu daktari lakini huduma ya kwanza inahusu msaada ambao unadhani utajisaidia kabla ya kumfikia daktari hivyo unapojisikia vibaya usiku wa manane hauwezi kutojisaidia kabla ya kumuona daktari asubuhi, unapokataa huduma ya kwanza sijui unamlinda nani! Narudia tena ukinywa pombe hakikisha unayo gilasi ya maji ya kunywa chumbani mwako, hii si dawa na hakuna dakitari atakae kuonya kwa kunywa maji kabla ya kumuona yeye.Tatizo sio kuamini nijuacho. Tatizo ni kuongelea mambo usiyoyajua na kupotosha. Focus on ur area of expertise mzee