Dawa ya pombe ni msosi (wenye nyama nyingi) kabla ya kunywa ... pombe gharama..Kabisa maji hua ni dawa sana kwa wanywaji hawajui tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya pombe ni msosi (wenye nyama nyingi) kabla ya kunywa ... pombe gharama..Kabisa maji hua ni dawa sana kwa wanywaji hawajui tu
Nimesikia kucheka...mzee unakaa picha ya ndege?Namfahamu[emoji24][emoji24][emoji24]
Pole mkuuNamfahamu[emoji24][emoji24][emoji24]
Kwanini sasa..[emoji23] maeneo yangu yote hayo Toka maili Maili moja mpaka KongoweNimesikia kucheka...mzee unakaa picha ya ndege?
Thanks bro [emoji1545]Pole mkuu
Haha nimekupata... naipata sana mitaa hiyo tangu enzi hizo.... nimesoma Kibaha Sekondari na picha ya ndege nimekuja sana kula vidada na bia wayback 89 hukoo...Kwanini sasa..[emoji23] maeneo yangu yote hayo Toka maili Maili moja mpaka Kongowe
Ukishuka kwenda Triple J kuna mahali pale bondeni kuna Dr kajenga vyumba kama 50 vya kupanga panaitwa Big brother[emoji23] karibu sanaHaha nimekupata... naipata sana mitaa hiyo tangu enzi hizo.... nimesoma Kibaha Sekondari na picha ya ndege nimekuja sana kula vidada na bia wayback 89 hukoo...
Siku nyingi sana sijakanyaga huko... pale mailimoja niliacha mtotoUkishuka kwenda Triple J kuna mahali pale bondeni kuna Dr kajenga vyumba kama 50 vya kupanga panaitwa Big brother[emoji23] karibu sana
Nipe location i will do the needful [emoji23]Siku nyingi sana sijakanyaga huko... pale mailimoja niliacha mtoto
Usikute hapo kuna mwamba alikuwa anamtoa offer ili baadae akampige mlingoti ....Mhudumu wa Baa ya Nyemo, Asia Eliya (24) amefariki dunia kwa madai ya kunywa pombe kupita kiasi bila ya kula chakula.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Picha ya Ndege, Joseph Zambo alisema kuwa Asia alifariki dunia akiwa njiani kupelekwa hospitali.
Zambo alisema kuwa tukio hilo lilitokea Aprili 8, mwaka huu majira ya alfajiri nyuma ya baa kwenye migomba jirani na alipokuwa akifanyia kazi.
"Nilipigiwa simu kuwa kuna mwili wa mtu aliyekufa ilibidi niende na nilipofika niliambiwa mwili umechukuliwa na polisi kupelekwa Tumbi ambapo alikuwa hajafa na alifia njiani," alisema.
Alisema kuwa wafanyakazi wenzake walisema kuwa siku hiyo Asia alikunywa sana pombe kabla ya umauti kumkuta.
"Alichunguzwa lakini hakukutwa na jeraha lolote wala kuumia popote, hali ambayo inaonesha kuwa inawezekana pombe ndiyo ilisababisha kifo hicho," alisema Zambo.
Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo alikiri kutokea kwa tukio hilo.
HABARI LEO
Pole!Namfahamu[emoji24][emoji24][emoji24]
Aiseh wewe ni Noma Sana.Namfahamu[emoji24][emoji24][emoji24]
Hapa unamaanisha ukiwa na sukari nyingi mwilini pombe inaweza kuipunguza au sio mtaalamu.Hapana pombe hufyoza sukari iliyopo mwilini ndomana tukashauriwa kunywa na ule ,nihatari kama sukari ilishuka lazima upoteze