Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Jane wa Triple B Goba vipi?Namfahamu[emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jane wa Triple B Goba vipi?Namfahamu[emoji24][emoji24][emoji24]
Huyo hakula na wala hakunywa maji, kilichompata ni kukaukiwa maji mwilini(dehydration).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hebu tuambie wewe ulimnunulia chupa ngapi na kwanini haukumnunulia chips na mishikaki kabla ya kumnywesha?
Tutafute siku moja ya jumamosi tukutane NIDA kwenye mnada wa mbuzi au kwa Mbonde kwenye mkuu wa meza.opposite na njia ya kwenda Tumbi au kituo cha basi Picha ya ndege
Na madaktari hawakuona ila wewe umeonaBaada ya kulewa huenda kuna aliyemchanganyia vitu! RIP.
Watz kwa uongo na upotoshaji hamjambo. Amepata hypoglycaemia kwa sababu ya sukari kushuka mwilini kwa sababu ya njaa plus pombe kali na sio dehydration. Nyie ndio unakuta mnatibu huko mitaani na kuua watu Figo na maini
Amini ujuacho ila nakushauri ukinywa bia hakikisha unapokwenda kulala unayo gilasi ya maji ya kunywa chumbani mwako, utakuja kunishukuru.Watz kwa uongo na upotoshaji hamjambo. Amepata hypoglycaemia kwa sababu ya sukari kushuka mwilini kwa sababu ya njaa plus pombe kali na sio dehydration. Nyie ndio unakuta mnatibu huko mitaani na kuua watu Figo na maini
Duh poa nimekusoma vema ngoja nione weekend hii[emoji1545]Tutafute siku moja ya jumamosi tukutane NIDA kwenye mnada wa mbuzi au kwa Mbonde kwenye mkuu wa meza.
kama ni konyagi ukinywa usiku unasikia kiu moja kali sana ambayo inahitaji maji ya baridi sanaNgoja nimcheki mkemia anifafanulie
Hata kwa wazinzi ni dawa tosha asee maji hupungua sana mwiliniKabisa maji hua ni dawa sana kwa wanywaji hawajui tu
Songea boys si ya vidume tu mkuu 😂😂Namjua huyo dada, tulisoma wote Songea Boys....
Pombe inamaliza sana maji mwilini.Huyo hakula na wala hakunywa maji, kilichompata ni kukaukiwa maji mwilini(dehydration).
mtajua wenyeweSongea boys si ya vidume tu mkuu í ½í¸í ½í¸
[emoji23][emoji23][emoji23]Songea boys si ya vidume tu mkuu [emoji23][emoji23]
Unywaji wa pombe unakausha maji mwilini sababu pombe ni diuretic, over some time mtu anapoteza fluids na electrolytes muhimu mwilini. Japo, kwa case yake ni wazi ni hypoglycaemia.Watz kwa uongo na upotoshaji hamjambo. Amepata hypoglycaemia kwa sababu ya sukari kushuka mwilini kwa sababu ya njaa plus pombe kali na sio dehydration. Nyie ndio unakuta mnatibu huko mitaani na kuua watu Figo na maini
Nachukua notes [emoji1545]Unywaji wa pombe unakausha maji mwilini sababu pombe ni diuretic, over some time mtu anapoteza fluids na electrolytes muhimu mwilini. Japo, kwa case yake ni wazi ni hypoglycaemia.
mtajua wenyewe
Swaum kali
Point hapa ni cause of death is hypoglycaemiaUnywaji wa pombe unakausha maji mwilini sababu pombe ni diuretic, over some time mtu anapoteza fluids na electrolytes muhimu mwilini. Japo, kwa case yake ni wazi ni hypoglycaemia.
Tatizo sio kuamini nijuacho. Tatizo ni kuongelea mambo usiyoyajua na kupotosha. Focus on ur area of expertise mzeeAmini ujuacho ila nakushauri ukinywa bia hakikisha unapokwenda kulala unayo gilasi ya maji ya kunywa chumbani mwako, utakuja kunishukuru.