Pombe yaua Mhudumu wa Baa aliyekunywa bila kula

Pombe yaua Mhudumu wa Baa aliyekunywa bila kula

mtu kudevelop dehydration it takes some time na haiwezi kuwa immediate cause of death kwa mlevi. Mtu aliyezidiwa kwa ulevi mpe kwanza Fanta orange au mwekee asali chini ya ulimi km hajitambui km huduma ya kwanza kwa sababu sukari kushuka ( hypoglycaemia)ndio kutamuua haraka na sio dehydration
Mkuu kuna ile hali ukinywa pombe leo kesho unakuwa kama unatetemeka, hali hiyo husababishwa na nini?
 
Mkuu kuna ile hali ukinywa pombe leo kesho unakuwa kama unatetemeka, hali hiyo husababishwa na nini?
Pombe ikienda kwenye ini inavunjwa na kimeng’enyo kinaitwa alchohol dehydrogenase kwenda katika kampaundi inaitwa acetylaldehyde ambayo ni sumu ambayo baadae hubadilishwa kwenda acetate na kimeng’enyo kinachoitwa aldehyde dehydrogenase . Sasa hii sumu iitwayo acetylaldehyde ikizidi kwenye misuli ndio hupelekea kujisikia vibaya, kutetemeka n.k na pia husababisha cancer mbalimbali
 

Attachments

  • 68CD1122-385B-48EE-A3AE-9A8FE604B91C.png
    68CD1122-385B-48EE-A3AE-9A8FE604B91C.png
    15.1 KB · Views: 3
Kumbukumbu yangu na marehemu
Siku moja ya Ijumaa mwaka fulani nilifika bar ya River Road kwenye saa tano usiku hivi
By then ndio ilikuwa bar kubwa mitaa yote ya Picha ya ndege na karibia kila weekend ilialika bendi, lakini weekend ile hapakuwa na bendi hivyo muda huo wateja walibaki wale wa kaunta tuu
Nilikuta jamaa wawili watu wazima wameshiba wako counter
Wahudumu waliobaki muda huo walikuwa wawili tuu marehemu na rafiki yake ambaye naye alishafariki hapo hapo Picha ya ndege
Basi nikapewa signal kwamba nisikae counter nikavutiwa kiti pembeni kidogo na kimeza kisha nikapangwa,[emoji3] Kumbe wale jamaa walikuwa Masoja wa Msangani na walishakubaliana na wale mabinti waondoke nao , kumbe wale mabinti licha ya kula na kunywa vya watu lakini hawakuwa tayari

Kutoka River road mpaka barabara kuu ya lami ni kama robo km hivi, hivyo nikapanga na wale mabinti nikikaribia tu kumaliza wao wapite kushoto wakanisubirie mbele. Haya mawasiliano yalikuwa yanafanyika kwa msg muda Wote
Kumbe wale masoja walishastukia mchezo, ile nakaribia kumaliza mabinti wakapita hivi nami baada ya kama dk 3 nikapita hivi nikawasha gari nikaondoks.. Sasa kile kipande kuelekea barabarani kilikuwa na majani marefu almost kama kichaka
Ile nawakaribia kucheki kwenye site mirror naona kuna gari inakuja nyuma yangu, [emoji23] wale mabinti waakazama kichakani kujificha, mimi nikapiga double hazard na kushuka kwenye gari kama nataka kujisaidia,
Jamaa wakaja wakapita pembeni huko wanachungulia kwenye gari. Niliacha mlango wazi kidogo ili waone hakuna mtu mwingine ndani ya gari

Jamaa wakanyoosha mpaka road hola hakuna mtu[emoji23].. Sasa jamaa walipopita mabinti wakachomoka kwenye kichaka na kupanda gari.. Tunafika road tukaona gari yao wamepaki upande wa pili wa barabara kwenye petrol station ya ATN ilikuwa haijaanza kutumika

Dah wakasema hawa jamaa bado wanatufuatilia, na mipango yetu ilikuwa ni kwenda maili moja maana kwa wakati ule ndio palikuwa pamekucha.. Sasa nikinyoosha maili moja jamaa watanistukia mimi nikakunja kuelekea Picha, kuona vile jamaa wakaondoka kuelekea maili moja (kumbe walidhani wale mabinti wamekimbia na boda)

Mpaka nafika Picha ya ndege sioni gari inayonifuata hivyo nikakunja kuelekea njia ya Tumbi nikatokee Maili moja.. Kumbe jamaa wale walikiwasha mpaka TAMCO bila kuona Boda yoyote, hivyo wakastukia janja yangu na kukunja kuingia njia ya Tumbi [emoji23]

Nafika Tumbi napishana na gari yao.. Loh tukastukiana.. Sasa mimi nilikuwa na gari ndogo automatic wao walikuwa na Landcruiser short chassis old model manual... Ile mpaka wao kunistukia na kugeuza nilikuwa nimeshawaacha mbali..

Nitaendelea[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Naendelea

Kumbe wale mabinti mwanzoni walishakubaliana na wale wajeda waende Container bar Mail moja.. Hivyo nilipowaambia twendeni huko wakakataa
Nikawa sina namna nikajiona kabisa nimejitafutia shida ya bure ila nikajisemea moyoni hawa wajeda subiri niwachezeshe segere..
Nikaivuta BM mwendo wa Kiteshe bar iko baada ya mizani ya zamani upande wa kushoto kilometre kama moja ndani

Bar ya Kiteshe ukitoka main road kuna kilima kisha unashuka bondeni.. Sasa ukifika upande wa kushoto kushuka bondeni ndipo ilipo bar na upande wa kulia kabla ya kushuka bondeni ndio kuna gesti house.. Kwahiyo mimi nikapiga honi geti likafunguliwa nikazamisha gari ndani nikatafuta parking nzuri tukashuka
Kama unstoppable gesti kuelekea bar kuna njia yake ambayo unatokea karibu na vyoo kisha bar

Tukatakuta kona ya mwisho upande wenye miti na kigizagiza.. [emoji23] dakika kumi nyingi tangu tukae Landcruiser ikatia timu.. Hawakushuka nikajua tu wanaangalia gari .. Tunaona wanamuita mlinzi na kumuuliza kitu, mlinzi akatikisha kichwa kama ishara ya kukataa
Unajua sisi tuliingilia geti la gesti upande wa juu na bar iko chini kushoto mbele kabisa na hapana mahusiano kabisa hivyo mlinzi yule hakutuona
Na mlinzi wa gesti naye hakuweza kuona kwenye gari kuna watu wangapi kwakuwa gesti ya Kiteshe ni pakubwa pana pande tatu tofauti na miti ya kutosha.. Panafaa sana kujificha [emoji23]

Landcruiser iligeuza na kutokomea gizani.. Tukanyweshea moyo mpaka saa nane usiku hivi.,...! Kulipokucha ilikuwa Jumamosi....[emoji23]

Kwasasa Asia na Tina wote ni marehemu..[emoji24]ardhi inameza vingi[emoji2827] wapumzike mahali pema kaburini
 
Kumbukumbu yangu na marehemu
Siku moja ya Ijumaa mwaka fulani nilifika bar ya River Road kwenye saa tano usiku hivi
By then ndio ilikuwa bar kubwa mitaa yote ya Picha ya ndege na karibia kila weekend ilialika bendi, lakini weekend ile hapakuwa na bendi hivyo muda huo wateja walibaki wale wa kaunta tuu
Nilikuta jamaa wawili watu wazima wameshiba wako counter
Wahudumu waliobaki muda huo walikuwa wawili tuu marehemu na rafiki yake ambaye naye alishafariki hapo hapo Picha ya ndege
Basi nikapewa signal kwamba nisikae counter nikavutiwa kiti pembeni kidogo na kimeza kisha nikapangwa,[emoji3] Kumbe wale jamaa walikuwa Masoja wa Msangani na walishakubaliana na wale mabinti waondoke nao , kumbe wale mabinti licha ya kula na kunywa vya watu lakini hawakuwa tayari

Kutoka River road mpaka barabara kuu ya lami ni kama robo km hivi, hivyo nikapanga na wale mabinti nikikaribia tu kumaliza wao wapite kushoto wakanisubirie mbele. Haya mawasiliano yalikuwa yanafanyika kwa msg muda Wote
Kumbe wale masoja walishastukia mchezo, ile nakaribia kumaliza mabinti wakapita hivi nami baada ya kama dk 3 nikapita hivi nikawasha gari nikaondoks.. Sasa kile kipande kuelekea barabarani kilikuwa na majani marefu almost kama kichaka
Ile nawakaribia kucheki kwenye site mirror naona kuna gari inakuja nyuma yangu, [emoji23] wale mabinti waakazama kichakani kujificha, mimi nikapiga double hazard na kushuka kwenye gari kama nataka kujisaidia,
Jamaa wakaja wakapita pembeni huko wanachungulia kwenye gari. Niliacha mlango wazi kidogo ili waone hakuna mtu mwingine ndani ya gari

Jamaa wakanyoosha mpaka road hola hakuna mtu[emoji23].. Sasa jamaa walipopita mabinti wakachomoka kwenye kichaka na kupanda gari.. Tunafika road tukaona gari yao wamepaki upande wa pili wa barabara kwenye petrol station ya ATN ilikuwa haijaanza kutumika

Dah wakasema hawa jamaa bado wanatufuatilia, na mipango yetu ilikuwa ni kwenda maili moja maana kwa wakati ule ndio palikuwa pamekucha.. Sasa nikinyoosha maili moja jamaa watanistukia mimi nikakunja kuelekea Picha, kuona vile jamaa wakaondoka kuelekea maili moja (kumbe walidhani wale mabinti wamekimbia na boda)

Mpaka nafika Picha ya ndege sioni gari inayonifuata hivyo nikakunja kuelekea njia ya Tumbi nikatokee Maili moja.. Kumbe jamaa wale walikiwasha mpaka TAMCO bila kuona Boda yoyote, hivyo wakastukia janja yangu na kukunja kuingia njia ya Tumbi [emoji23]

Nafika Tumbi napishana na gari yao.. Loh tukastukiana.. Sasa mimi nilikuwa na gari ndogo automatic wao walikuwa na Landcruiser short chassis old model manual... Ile mpaka wao kunistukia na kugeuza nilikuwa nimeshawaacha mbali..

Nitaendelea
Mkubwa nawe una kashikashi siyo poa 😂😂🙌🙌
 
Hauhitaji mkemia, leo kunywa chupa sita za pombe na kesho kunywa chupa tatu tu za maji kipimo hicho hicho, utapata jibu.
Ukinywa pombe kali leo kiasi kikubwa na kesho ukanywa maji mengi haja ndogo huioni nahapo ndiyo utajua hujui pombe kali inakausha mwili
 
Itakua pombe za ofa
Cha ajabu, wanaotoa ofa ya pombe huwa hawapendi kukuona unakula!

Ukikutwa hauna pesa ya kula ukamtolea ombi kuwa akupeleke kwanza hoteli ama kwa mama lishe ukale, unakuwa umepeperusha ndege, umeshamtia jazba anaondoka!

Unapovamiwa ili kunyweshwa pombe za ofa, jiulize mara mbili mbili.

Kama una njaa na hauna hela ya kula, ni heri ujihadhari kwa kuikataa ofa hiyo maana ni hatari.
 
Kumbukumbu yangu na marehemu
Siku moja ya Ijumaa mwaka fulani nilifika bar ya River Road kwenye saa tano usiku hivi
By then ndio ilikuwa bar kubwa mitaa yote ya Picha ya ndege na karibia kila weekend ilialika bendi, lakini weekend ile hapakuwa na bendi hivyo muda huo wateja walibaki wale wa kaunta tuu
Nilikuta jamaa wawili watu wazima wameshiba wako counter
Wahudumu waliobaki muda huo walikuwa wawili tuu marehemu na rafiki yake ambaye naye alishafariki hapo hapo Picha ya ndege
Basi nikapewa signal kwamba nisikae counter nikavutiwa kiti pembeni kidogo na kimeza kisha nikapangwa,[emoji3] Kumbe wale jamaa walikuwa Masoja wa Msangani na walishakubaliana na wale mabinti waondoke nao , kumbe wale mabinti licha ya kula na kunywa vya watu lakini hawakuwa tayari

Kutoka River road mpaka barabara kuu ya lami ni kama robo km hivi, hivyo nikapanga na wale mabinti nikikaribia tu kumaliza wao wapite kushoto wakanisubirie mbele. Haya mawasiliano yalikuwa yanafanyika kwa msg muda Wote
Kumbe wale masoja walishastukia mchezo, ile nakaribia kumaliza mabinti wakapita hivi nami baada ya kama dk 3 nikapita hivi nikawasha gari nikaondoks.. Sasa kile kipande kuelekea barabarani kilikuwa na majani marefu almost kama kichaka
Ile nawakaribia kucheki kwenye site mirror naona kuna gari inakuja nyuma yangu, [emoji23] wale mabinti waakazama kichakani kujificha, mimi nikapiga double hazard na kushuka kwenye gari kama nataka kujisaidia,
Jamaa wakaja wakapita pembeni huko wanachungulia kwenye gari. Niliacha mlango wazi kidogo ili waone hakuna mtu mwingine ndani ya gari

Jamaa wakanyoosha mpaka road hola hakuna mtu[emoji23].. Sasa jamaa walipopita mabinti wakachomoka kwenye kichaka na kupanda gari.. Tunafika road tukaona gari yao wamepaki upande wa pili wa barabara kwenye petrol station ya ATN ilikuwa haijaanza kutumika

Dah wakasema hawa jamaa bado wanatufuatilia, na mipango yetu ilikuwa ni kwenda maili moja maana kwa wakati ule ndio palikuwa pamekucha.. Sasa nikinyoosha maili moja jamaa watanistukia mimi nikakunja kuelekea Picha, kuona vile jamaa wakaondoka kuelekea maili moja (kumbe walidhani wale mabinti wamekimbia na boda)

Mpaka nafika Picha ya ndege sioni gari inayonifuata hivyo nikakunja kuelekea njia ya Tumbi nikatokee Maili moja.. Kumbe jamaa wale walikiwasha mpaka TAMCO bila kuona Boda yoyote, hivyo wakastukia janja yangu na kukunja kuingia njia ya Tumbi [emoji23]

Nafika Tumbi napishana na gari yao.. Loh tukastukiana.. Sasa mimi nilikuwa na gari ndogo automatic wao walikuwa na Landcruiser short chassis old model manual... Ile mpaka wao kunistukia na kugeuza nilikuwa nimeshawaacha mbali..

Nitaendelea
Hapa tunaweza kupata filamu kali sana, tukiongeza nyama chache.
 
Back
Top Bottom